Inasemekana kwamba mwanamziki Brandy ni VAMPIRE!!

Hauamini???? Tafuta picha zake uangalie, Sasa mfano mzuri hata juzi alivyokuja bongo, tuliopata nafasi ya kumuona tunalijua hilo
mkuu na wasiwasi na ubongo wako mtu mwenye 36 yrs ungetaka aweje? na anaishi marekani na ana kipato chake kizuri tuu? tena angekua smart zaid ya hapo sema tuu yale madawa ya kulevya yamemuharibu.
nakwambia hivii acha mawazo yako ya ajabu. mbona mtu kama jay z haonyeshi kama kaenda age? mcheki diddy utazani ana 30!! mchek ll cool j
 
Reactions: MC7
sasa TI ana miaka 35 azeeke vipi ?? we jamaa wewe
Fananisha na wasanii wa bongo wenye umri huo... Ivi twenty percent ana miaka mingapi??? Ukimuweka na
T.I si wataonekana mtu na Babu yake??
 
Reactions: MC7
Mimi ninafananisha na wasanii wa Bongo wenye umri sawa na huo... Labda tumetofautiana hapo mkuu
 
Kuna muigizaji anaitwa Bianca Lawson daaah Yule dada ndo hafananii kabisa umri wake
 
Reactions: MC7
Sio vampire we unategemea nni kama habadili wanaume kila kukicha kama hawa wa huku. Hapandi daladala hali hali hovyo mavitu ya ofa. Hanywi kila kinywaji alimradi alewe. Analala mapa sio madem wa hku majority ni popo hawalalii. Hatembei na waume za watu. Na anafanya mazoezi. Uzee wanautaka wentewe hawa wa hku kwetu
 
Kumbe inawezekana hata mie ni vampire..?
 
Nae ni vampire , ila kama kuna ukweli vile, huyu dully Skye's wakati nyimbo yake ya kwanza miaka hiyo nilikuwa bado mdogo sana, leo ukinilinganisha na dully unaweza kusema mim ni baba yake, yaan nimezeeka yeye bado kijana
U made my day [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi ninafananisha na wasanii wa Bongo wenye umri sawa na huo... Labda tumetofautiana hapo mkuu
huwezi linganisha africa na ulaya au marekani ni impossible. mfano j mo na usher raymond wamezaliwa mwaka mmoja, unaweza kuniambia nani anaonekana mdogo hapo? umemcheki pharel williams? acha kabisa kulinganisha hayo mambo.
unaweza mlinganisha beyonce/alicia keys na mwanamke wa kibongo aliezaliwa 1981? nadhani hata ngozi ishaanza kukunjamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…