safi sana kama ni kweli mlio haribu uzazi acheni keroInasemekana lakini
View attachment 1211159
hawana usemi wowoteKwani warumi na Hance Mtanashati wao wamesemaje?
Kama ulishapata idadi ya watoto uliojipangia, usizae bwana eti kwa kumuiga mama Daimondi. hahahahahaahahahahahah.Duuh kumbe hata mimi naweza kuzaa wajameni ngoja nichakarike
Baba mdogo atakua mdogo kuliko mwanaeDAAH KIJANA ANASUBIRIA MTOTO NA MAMA ANASUBIRIA MTOTO.
Meno Pause ni 55 years not 50.Huyu maza si ana 50..au meno pause inachelewa siku hizi?
Haha hawatoshi ila nilijua menostop tayariKama ulishapata idadi ya watoto uliojipangia, usizae bwana eti kwa kumuiga mama Daimondi. hahahahahaahahahahahah.
How? Na wakati Shamte ni mume halali wa bi sandra! What is the big deal wao kuzaa kama wana ndoa ambayo haina mashaka kbs kwa mujibu wa imani yao (muslim)Familia zingine laana