Inasemekana mama Diamond Platnumz (Bi Sandrah) ni mjamzito

Inasemekana mama Diamond Platnumz (Bi Sandrah) ni mjamzito

Ni nchi pekee wanasiasa wanaifurahia sana.
Wanasiasa wanatajirikia ujinga wa wabongo.
Tunajishughulisha na mambo ya watu zaidi kuliko mambo yetu.
Kabisa


MAMA DIAMOND Aache Kula Vitu Vyake Kisa Wabongo
 
Huyo mama kuna siku nimemuona live,kumbe ni mzee,nashangaa lile jamaa li uncle shamte linawezaje kudindisha mashine na kukigonga kile kiajuza.
 
Dada wa taifa si alituambia bibi ameshakata blidi! Au ndio story kama za Babu Seya za jogoo kutopanda mtungi?
Watu mnafuatilia mpaka blidi za watu daa jamani nchi sizani kama kuna nchi kavu kama hii!
 
Huyo mama kuna siku nimemuona live,kumbe ni mzee,nashangaa lile jamaa li uncle shamte linawezaje kudindisha mashine na kukigonga kile kiajuza.
Miaka ya uncle shamte unaifahamu?
 
Huyo mama kuna siku nimemuona live,kumbe ni mzee,nashangaa lile jamaa li uncle shamte linawezaje kudindisha mashine na kukigonga kile kiajuza.
Kna watu makauzu

Watu na shuguli zao 😂😂

Ova
 
Back
Top Bottom