Huyu maza si ana 50..au meno pause inachelewa siku hizi?
Kwa Mungu hakuna lisilowezekana MamaDuuh kumbe hata mimi naweza kuzaa wajameni ngoja nichakarike
AmenKwa Mungu hakuna lisilowezekana Mama
Duuh kumbe hata mimi naweza kuzaa wajameni ngoja nichakarike
Hata hii utaizoea mkuu usijaliAah, turudishie avatar yetu bhanaaa
ki maadili kweli hapana, yaani Diamond kaenda tafuta mwanaume wa kumuhmea mama yake mzazi, janaume linalipiwa kila kitu, limepwa land cruiser v8 , linalishwa mihogo na nazi mbichi ,jioni unawakuta mac juice sinza mori wanapata supu ya pweza kwa gharama ya DAi ili BI SANDRA AKAMULIWE IZURI, duhInasemekana lakini
View attachment 1211159
Ni picha yako hiyo? Au mnafanana?Hata hii utaizoea mkuu usijali
Ni yangu kabisaaNi picha yako hiyo? Au mnafanana?
Ok unaonekana mdogo kwenye picha.Ni yangu kabisaa
Inasemekana lakini
View attachment 1211159
Kama unakula vizuri na mazoezi ya apa na pale na hauna mawazo inachelewa kuingia menopauseHuyu maza si ana 50..au meno pause inachelewa siku hizi?
😂😂 From this, I can tell you are a lawyer. Nimekosea?Moja ya sifa ya mwanamke ni kuzaa
Tena sio kuzaa bila mume, Sasa yeye mume anae wa halali kabisaaa kwanini asizae?