Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Umekosa[emoji23][emoji23] From this, I can tell you are a lawyer. Nimekosea?
Mkuu yapo madawa ya ku boost hormones mazee. Ref: Sababu ya talaka ya R.i.p Winnie Mandela. Sitapenda kuelezea, lakini mhusika alikuwa akitenda hayo kwa raha kabisa, akiwa over 60 yrs.Huyu maza si ana 50..au meno pause inachelewa siku hizi?
Mkuu inategemea na 'dongo' la mtu.Meno Pause ni 55 years not 50.
Huyo bado kabisa miaka 53 siku hizi mpaka 67Huyu maza si ana 50..au meno pause inachelewa siku hizi?
Kata sana viuno mama usiwe mzembe kunako 6x6Duuh kumbe hata mimi naweza kuzaa wajameni ngoja nichakarike
diamond anavumilia mengi.
hahahaaaaaaaaaaaaaaa kakosea kabisa angesema maeneo ya unesi au mahospitalini huko ndo angepatiaUmekosa
Tupate Wadhamini Wetu Kwanzahivi shamte ni mwanaume wa morogoro au Tanga?
Haa Tehhaa, hongera bi Sandra,sio kila mwanamke ana uzazi khaaa
Tanzania Nchi Ngumu Sana HiiDada wa taifa si alituambia bibi ameshakata blidi! Au ndio story kama za Babu Seya za jogoo kutopanda mtungi?
Mtusamehe wanaume hii kada yetu ya wanaume imeingiliwa na wanaume wambea zaidi ya wanawakeMoja ya sifa ya mwanamke ni kuzaa
Tena sio kuzaa bila mume, Sasa yeye mume anae wa halali kabisaaa kwanini asizae?
Tanzania Nchi Ngumu Sana HiiMtusamehe wanaume hii kada yetu ya wanaume imeingiliwa na wanaume wambea zaidi ya wanawake
Kaburi lafukuliwaInasemekana lakini
View attachment 1211159
Ni nchi pekee wanasiasa wanaifurahia sana.Tanzania Nchi Ngumu Sana Hii
Tutamkumbuka Mrumi maana ndo alikuwa anatupakulia ya jikoni.Inasemekana lakini
View attachment 1211159