GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hao wameripot vipi na hawapo haifa? 🤣🤣 source hesbollah tv ilioko kwenye bunker beirut 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wameripot vipi na hawapo haifa? 🤣🤣 source hesbollah tv ilioko kwenye bunker beirut 🤣
Huko ukraine mamia ya wanajeshi wa kikorea wanakufa wakirusi wako wapi 🤣Kama zana za urussi zimeanza kwenda huko basi USA NA ISRAEL lazima wateme bungo....kosa kubwa la nato ni kumchokoza urussi hivyo kufanikisha nchi kama iran kukumbatiwa zaidi na urussi dhidi ya nato...njia sahihi ya kuwapiga waarabu ilitakiwa NATO NA CHINA NA URUSSI WAWE PAMOJA HAPO MUARABU ANGEKOMA KWA SASA WAARABU WANAYO BACKUP YA MAANA NAYO NI CHINA URUSI NA KOREA YA KIDUKU
We subiri Mungu wako Israel aripoti ndio uaminiHao wameripot vipi na hawapo haifa? 🤣🤣 source hesbollah tv ilioko kwenye bunker beirut 🤣
Ndio tuseme umechanganyikiwa mpaka huwezi kuandika au tukueleweje? Sijaelewa ulikua unataka kusema NiniU
nco
Inauma sanaMuuaji anapofiwa hulia machozi halisi sio bandia
Najua inauma lakini habari ni habari jifunze kupokea inayokufurahisha na inayo kuhuzunisha.source hezbollah TG kweli wa vyeti feki huwa na kufikiri feki
Naona Hezbollah watakua wameanza kuifanyia kaziNakumbuka huyu alikuwa kwenye ile orodha ya magaidi wanaopaswa kuuwawa iliyotolewa na Iran.
Ipo Dunia nzima toka huko Shimoni ulipoHii habari umeipata wewe tu?
Nijibu hivi urusi akitoa amri kuwa wananchi wote wa mji mkuu wa ukrsin waamia mkoa salama maana anaulipua huo mji kwa mabomu wote hadi makazi ya raia wewe unafikili nini ? Mfumo mzima wa maisha na kivita wa ukrain utasambalatika mara mojaHuko ukraine mamia ya wanajeshi wa kikorea wanakufa wakirusi wako wapi 🤣
West afrika? 🤣
[emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839]Taarifa hii mpaka sasa haijathibitishwa lakini vyanzo mbalimbali vinaripoti kuwa Bwana Harlevi alikuwa ndio target katika chakula cha usiku na askari wa IDF huko katika mji wa Haifa nchini Israel.
Vyombo vya habari vya Israel vinaeleza kuwa Hezbollah walitumia drone ya kisasa ya fiber optic iliyotengenezwa nchini Russia ambayo inakwepa kuonekana na radar pamoja na mitambo ya kiulinzi. Zaidi ya majeruhi na vifo 70 mpaka sasa vimeripotiwa.
Tuendelee kuomba amani hii vita iishe.
View attachment 3124209
Endelea kutafutiza tafutiza vitu vya kukufariji, au tukununulie wanasesere uwe unawasukasuka nywele?Taarifa hii mpaka sasa haijathibitishwa lakini vyanzo mbalimbali vinaripoti kuwa Bwana Harlevi alikuwa ndio target katika chakula cha usiku na askari wa IDF huko katika mji wa Haifa nchini Israel.
Vyombo vya habari vya Israel vinaeleza kuwa Hezbollah walitumia drone ya kisasa ya fiber optic iliyotengenezwa nchini Russia ambayo inakwepa kuonekana na radar pamoja na mitambo ya kiulinzi. Zaidi ya majeruhi na vifo 70 mpaka sasa vimeripotiwa.
Tuendelee kuomba amani hii vita iishe.
View attachment 3124209
Hapo wanasaidiwa intelligence wao kazi yao ni kuwatupia vidude tu🤣Kama zana za urussi zimeanza kwenda huko basi USA NA ISRAEL lazima wateme bungo....kosa kubwa la nato ni kumchokoza urussi hivyo kufanikisha nchi kama iran kukumbatiwa zaidi na urussi dhidi ya nato...njia sahihi ya kuwapiga waarabu ilitakiwa NATO NA CHINA NA URUSSI WAWE PAMOJA HAPO MUARABU ANGEKOMA KWA SASA WAARABU WANAYO BACKUP YA MAANA NAYO NI CHINA URUSI NA KOREA YA KIDUKU