Tetesi: Inasemekana Mkuu wa Jeshi la IDF Harzi Halevi auwawa kwenye Shambulizi la Drone lilifanywa na Hezbollah hii Leo

Status
Not open for further replies.
Huko ukraine mamia ya wanajeshi wa kikorea wanakufa wakirusi wako wapi 🤣
West afrika? 🤣
 


Huko ukraine mamia ya wanajeshi wa kikorea wanakufa wakirusi wako wapi 🤣
West afrika? 🤣
Nijibu hivi urusi akitoa amri kuwa wananchi wote wa mji mkuu wa ukrsin waamia mkoa salama maana anaulipua huo mji kwa mabomu wote hadi makazi ya raia wewe unafikili nini ? Mfumo mzima wa maisha na kivita wa ukrain utasambalatika mara moja
 
Mamaeeee [emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839][emoji839]
 
Endelea kutafutiza tafutiza vitu vya kukufariji, au tukununulie wanasesere uwe unawasukasuka nywele?
 
Hapo wanasaidiwa intelligence wao kazi yao ni kuwatupia vidude tu🤣
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…