Inasemekana: Mnyakyusa ananyemelewa kusitisha mkataba lebo ya Mmanyema na kusainiwa kwenye lebo ya Mmakonde.

Inasemekana: Mnyakyusa ananyemelewa kusitisha mkataba lebo ya Mmanyema na kusainiwa kwenye lebo ya Mmakonde.

Sasa mpaka habari hii ni ya kuweka kwenye code kweli?yani kufanya watu waanze kufikiria myakyusa mmakonde na mmanyema? Kisa habari ya burudani?
aaaaaaaah jomba si unajua kila mtanzania yuko kitengo cha ushushushu ? hahahaha
 
Kuna jamaa watatu nimewakuta wamechill somewhere,
Kwa maongezi yao wanaonekana kuwa ni wadau wazuri sana wa tasnia ya burudani hapa mjini na ni watu wenye taarifa kuntu sana juu ya tasnia hii.

Sasa katika mazungumzo yao nikasikia tetesi za kuwa ndugu Mnyakyusa anaweza akanyakuliwa kutoka katika lebo ya Mmanyema na kusainiwa lebo ya Mmakonde.

Wadau wenye ubuyu uliokomaa wanaweza wakaja kuongezea nyama hapa.

[Hizi kodi ni simpo sana, hata chekechea anazifungua- hivyo asije mtu akajifanya hajaelewa kitu hapa].
Sasa Hivi ni Mwendo wa KONDE GANG hatuhitaji MAKURUNZINZA WCB.
 
Bado hajakua kisanii wamwache avutevute muda kwanza
 
Mond unawanyonya wasanii wako.
Gaidi SALAMU na DOMONDI walikuwa wanamminya KONDE GANG asitoboe zaidi maana likuwa Mwiba Sana,Sasa Konde Gang Kaona isiwe TABU kachomoa Battery wanaanza ohoo mara mkataba wake wa miaka 15 na bla bla bla kibao!!! KG - KONDE GAND HOTTEST NIKKA IN THE GAME.
 
Back
Top Bottom