Inasemekana: Simba Sc ndiyo watacheza na Everton,sio Kariobang Sharks

Tuacheni tukawachape hao everton... Na hakuna namna kariobangi acheze akati sisi ndio sportpesa
 
Kwa nini walizialika hizo timu? Kama vipi wawe wanafanya rotayion nani acheze na everton. Mwaka huu tanzania mwaka kesho kenya.
Hamna haja ya mashindano kama ndio huu ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…