Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

Kabla ya ukoloni nitajie jamii gan ambayo ilikua haikeketi?
jamii za pwani zote,kusini kote mbeya huko kote hakunaga masuala hayo,ukeketaji unaanzia central tz kuelekea juu basi ndio ulipotokea
 
sijaota bali ni kweli yametokea na yanaendelea kutokea
Unaweza kutaja Kijiji, Kata, tarafa na wilaya uliyoyaona haya?

Umeandika upuuzi mkubwa sana.

Nimewahi kuhusika kupeleka miili ya Wachagga mochwari.

Sikuwahi kufanya, kusikia, au kuona upuuzi wa kula maiti.

Hapo zamani, kutokana na umasikini, marehemu walikuwa wanakamuliwa Ili wasioze na hii ni miaka ya 90 kati kurudi nyuma. Na uchafu ulitupwa na siyo vinginevyo.

Ingekuwa marehemu analiwa basi na Mimi ningelishwa maana nimezaliwa na wazazi Wachagga na nimeishi huko Kwa miaka 20+.

Uchaggani Kuna Mila ya kupika damu ya mbuzi, kondoo na ng' ombe. Huchanganywa na supu na ni maarufu kama kisusio. Nimewahi kunywa japo nilisha acha.

Punguza kuandika ujinga. Utakugharimu siku moja!
 
Majirani zetu wa kichaga. Ndio maana roho inakuwa nzito tunapo kuja kwenye misiba yenu na mkatukaribisha chakula kama wema kweli...
Msanuo sasa tumeuona..
 
Kifupi ibada za wafu kama Tatu,Arobaini,kurehem waliokufa ni kukiiita kifo Kwa waliohai!!

Sio vizuri ku entatain haya mambo!
 
Wachaga naondoa shikamoo zangu.
Cannibals?
 
bro utanilaumu bure haya mambo yamethibitishwa na wachaga wenyewe pia umeambiwa ni siri je na wewe upo kwenye kamati ya ufundi bosi? haya mambo ni siri watu wakikushtukia wanaweza wakakuua
 
Umeongelea kisusio ,umenifanya usingizi unakata sasa.
 
Huenda ni mtu mmoja kwa id mpya
 
Habari yafo,? U mshaka lau?
Ni mshaka kwa mbali lau, japo kirombo nakisikia chote ika mataamshi yananishinda kidogo lau, tofauti na kimachame kibosho na kimarangu ila mpaka mwisho wa mwaka nitakijua chote, wakupe boora la mwisho lau, ila wasichanganye na dadiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…