Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

JF imejaa vitoto vya juzi, ukiviambia mila halisi za kiafrika vinadata na kudhani unadanganya. Eti "nimekulia uchagani", unadhani mambo ya kimila yanafanywa hadharani? Au unadhani kila mtu anashirikishwa?
 
sasa hili nalo la kubisha kwamba wachaga hawa waliopo sasa watu wazima wenye miaka kuanzia 50 wote asilimia kubwa wamekeketwa? hujui hilo na si wachaga tu bali makabila yote ya kaskazini ndio kamchezo kao hako
Ulifuata nini kwa wabibi wa miaka 50 mpka ukajua wamekeketwa? Kijana mdogo unakosa adabu.
 
Ulifuata nini kwa wabibi wa miaka 50 mpka ukajua wamekeketwa? Kijana mdogo unakosa adabu.
nawaelimisha watu kama wewe hawa waliona miaka 50 sasa miaka 10 nyuma walikuwa na 40 hivyo walikuwa bado vijana ndio nilipowakagua wakati huo nikaliona hilo
 
nawaelimisha watu kama wewe hawa waliona miaka 50 sasa miaka 10 nyuma walikuwa na 40 hivyo walikuwa bado vijana ndio nilipowakagua wakati huo nikaliona hilo
Kama wewe sio mchaga hauwezi yajua mambo ya wachaga mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…