Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Inasemekana watu wenye akili nyingi ni waaminifu.
Kwaiyo ukiona una mpenz kiruka njia jua yaliyomo hayamo!
Kwaiyo ukiona una mpenz kiruka njia jua yaliyomo hayamo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfalme Suleiman,mtume Muhammad s.a.wInasemekana watu wenye akili nyingi ni waaminifu.
Kwaiyo ukiona una mpenz kiruka njia jua yaliyomo hayamo!
tamaa na umalaya havina uhusianoMfalme Suleiman,mtume Muhammad s.a.w
King mswati, Bill Clinton' n Lewinsky.
Unataka kuwalazimisha watu watulie huwezi shindana na asili. Unajua ni kwa nini mwanaume aliwekewa tamaa kubwa na sex ,kazi ya mwanaume hapa duniani ni sex and success seeker ,hana Mambo mengi sana
amini kwamba kwasababu kabla hajatenda jambo ameshafikiria vitu vya mbeleInasemekana watu wenye akili nyingi ni waaminifu.
Kwaiyo ukiona una mpenz kiruka njia jua yaliyomo Hayamo
Hibi kuwa polygamous (kuwa na wake wengi au mahusiano mengi) ni kutokuwa muaminifu?Mfalme Suleiman,mtume Muhammad s.a.w
King mswati, Bill Clinton' n Lewinsky.
Unataka kuwalazimisha watu watulie huwezi shindana na asili. Unajua ni kwa nini mwanaume aliwekewa tamaa kubwa na sex ,kazi ya mwanaume hapa duniani ni sex and success seeker ,hana Mambo mengi sana
ni kweliamini kwamba kwasababu kabla hajatenda jambo ameshafikiria vitu vya mbele
nadhanHibi kuwa polygamous (kuwa na wake wengi au mahusiano mengi) ni kutokuwa muaminifu?
ooohHuu utafiti wa manane ya usiku una utata.
Ati. Uzi teyari.
CHADEMA wanaenda kunyukana mtaani.