Tippo wa zizzu ana dhambi gani..?Hii staili ya kuacha unga ya wasanii ndio uwa inanishangaza.. Unaachaje unga kirahisi hivyo!
Wasanii wetu wakae wakijua unga hauna mjanja.. Unga ata uufiche vipi kuna siku utakuumbua tu... Tunasubiri wajanja kina Mr blue, TID, Babuu, Mox, Majani, Bushoke ,Q chilla nk tuuone mwisho wao .
Btw hivi Tippo wa Zizu yupo wapi? Ana dhambi nyingi sana huyu jamaa.
Fatilia wasanii wote waliokuwa chini ya huyo jamaa.Tippo wa zizzu ana dhambi gani..?
Mkuu hebu tumegee kidogoFatilia wasanii wote waliokuwa chini ya huyo jamaa.
Wema hatumii MADAWA bwana. Wema sepenga na madawa ya kulevya ni sawa panya na paka. Hana hizo mamboyanawaumbua sana....next on the line...wema
Sepenga ni mlevi wa ndonga tu!! Hayo mengine walaaWema hatumii MADAWA bwana. Wema sepenga na madawa ya kulevya ni sawa panya na paka. Hana hizo mambo
MzuriMaana nini chief?
Na anatembezewa ndonga hatareSepenga ni mlevi wa ndonga tu!! Hayo mengine walaa