Inasemekana Young D karudia kubwia unga

Tippo wa zizzu ana dhambi gani..?
 
Mjanja hatumii unga vijana wengi wanaangamia Kwa maisha ya kuiga,hawasomi alama za wakati ukiwa juu kwenye chati fikiria kujipanga ukishuka kisanaa una mbadala gani usimame kimaisha.
 
yanawaumbua sana....next on the line...wema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…