ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hivi hizi timu zenu za kisiasa Zina matatizo gani hasa? Yaani vyombo vya habari vimejaa stori za Yanga na Simba Kuzodoana na kuleteana fitina nk kana kwamba ndio Zinaenda kukutana mwisho wa wiki kumbe zitaenda kucheza na Wapinzani wao tena Nje ya Nchi na timu kubwa.
Hivi huu ujinga na upuuzi wa Yanga na Simba wanaofanya Iko hivyo na timu zingine huko Kwa wenzetu au? Ukiwa na akili timamu ni ngumu sana kuwaelewa Hawa Simba na Yanga.
My Take
Ili wapate adabu naombea Al Ahly na Mamelodi watoe vichapo vya Nguvu na vya aibu labda watajifunza wapi kunatakiwa kuwekwa concentration maana upuuzi umezidi.
View: https://www.instagram.com/p/C5S6Qsbt8Pw/?igsh=MTV3NGg4NDZ3dW5rag==
Hivi huu ujinga na upuuzi wa Yanga na Simba wanaofanya Iko hivyo na timu zingine huko Kwa wenzetu au? Ukiwa na akili timamu ni ngumu sana kuwaelewa Hawa Simba na Yanga.
My Take
Ili wapate adabu naombea Al Ahly na Mamelodi watoe vichapo vya Nguvu na vya aibu labda watajifunza wapi kunatakiwa kuwekwa concentration maana upuuzi umezidi.
View: https://www.instagram.com/p/C5S6Qsbt8Pw/?igsh=MTV3NGg4NDZ3dW5rag==