THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #61
Kama kudai haki ni kulalamika basi Wacha ibakie kuwa hivyo, case Iko mahakamani.,hata wakiamua vinginevyo.Napingana na alichofanyiwa, lakini napingana na kulialia kwake pia.
Atafute suluhisho kama mtu aliyeelimika. Hizi media zitamshushia hadhi yake.
Tutasubiri majibu ya Mahakama.Utaratibu unatakaje baada ya kuondolewa kinyume na utaratibu ?
Je haki yake ni kulalamika ama inabidi arudishwe kwa sasa hivi ?
Nauliza kwa sasa hivi sheria inataka afanyiwe nini profesa mussa ?
Kifungu Gani cha katiba,weka tukisome sote.Katiba ya Tanzania imempa absolutely power Rais kuamua chochote bila kushauriana na mtu yoyote
Makobazi unayoyachukia ndiyo yanatamba Ikulu sasa .Yaani mna wa imani yenu na mnalialia bado,,,kweli kulialia ni jadi yenu makobazi
Sasa wanatamba ila bado unalialia kuna faida gani sasa.....uzuri tunaipenda ile katiba yetu aka kale kakitabu,,,mwanzo kabisa inasema serikali haina dini wagwaaanMakobazi unayoyachukia ndiyo yanatamba Ikulu sasa .
Kama nawaona roho zenu za chuki zinavyosokota makafiri.
Yeye kama msomi ambaye amewahi kuketi kwenye ofisi kubwa, hawezi 'kulalamika' kama akina yakhe.Kama kudai haki ni kulalamika basi Wacha ibakie kuwa hivyo, case Iko mahakamani.,hata wakiamua vinginevyo.
Vipi huyu Professor Wako Mvaa kobazi kakutumia uje Jamvini Ulete Oja Zake ili Watu Wamtetee Nini? Mwambie Akuzaliwe na kile Cheo Cha UCAG, Kila Dhama na Wakati Wake, Wenziwe kina Beno ndulu Wako Ughaibuni Wanapiga Pesa ndefu, Yeye kutwa Analialia Arudishwe Cheo Chake, ni Aibu Sana Kwa Msomi kama yule kulialia Mitandaoni, Mwambie Mfia Dini Mwenzio Anatia AibuKama anastahili kupewa haki zake basi apewa haki zake.
Nimekuwekea hapo ARTICLE 144 YA JAMHURI YA MUUNGANO AMBAYO IMEKIUKWA KATIKA KUONDOLEWA KWAKE
SASA KAMA KUDAI HAKI NI KULIA HIYO NI JUU YAKO,NA NIMEKUONA WEWE NA WENZAKO MNALISHUPALIA SANA HILO SUALA.
SASA WAFIKISHIE UJUMBE KUWA KUDAI HAKI SIYO KULALAMIKA.
Poleni sana watanzania wenzangu kwa msiba huu rulionao wa kutozingatia matakwa ya katiba kwenye uendeshaji wa shughuli za Serikali. Kama imefikia pahala Raia anaita katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kijitabu,itoshe kusema kuwa hii ni dharau kwa Taifa,na matokeo yake ni ukiukwaji wa misingi ya katiba.Friends and Our Enemies.
Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.
Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.
Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.
Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.
Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.
Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.
Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??
Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??
Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.
Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla
ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;
144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19
(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.
(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the
Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.
(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.
(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.
(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic
. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.
Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.
Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
aliondolewa au alistaafu? anapata mafao ya uCAG au hapati? aliteuliwa au alijiteua.l yeye alifikiri kwasababu ya kinga za kikatiba za CAG basi yupo juu ya kila mtu hata akileta uhafidhina wake wa ajabu ajabu. ndio mjifunze, hapa sio afiganistan.SIKU MOJA ASTAAFU KAZI KIVIPI??....BY THE TIME ANAONDOLEWA ALIKUWA BADO KAMA MIAKA MINNE AFIKISHE MIAKA 60,SASA UNASEMAJE KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA??LABDA USEMA KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA KUFIKISHA MIAKA 55.
Mbona unaongea kama Leo hujakanyaga mafuta kwa mwamposa?aliondolewa au alistaafu? anapata mafao ya uCAG au hapati? aliteuliwa au alijiteua.l yeye alifikiri kwasababu ya kinga za kikatiba za CAG basi yupo juu ya kila mtu hata akileta uhafidhina wake wa ajabu ajabu. ndio mjifunze, hapa sio afiganistan.
Ukikaza wewe makalio inatosha,siyo kila mtu ana makalio yaliyolegea kama yako ambayo yanahitajika kukazwa.AKAZE MAKALIO APAMBANE NA MAISHA YAKE AACHE KULIA LIA. YEYE NI. CAG WA KAWAIDA KAMA WENGINE. INGAWA TUNATAKA KUMKUZA SANA. BUT YEYE MWENYEWE ANAONESHA UDHAIFU. HANA JIPYA ANALIA LIA KAMA TOTO LINALODEKA. AKAZE MAKALIO.
Why don you address this to Samia Suluhu? Why she can not help Mr Said from crying?Friends and Our Enemies.
Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.
Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.
Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.
Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.
Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.
Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.
Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??
Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??
Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.
Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla
ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;
144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19
(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.
(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the
Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.
(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.
(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.
(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic
. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.
Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.
Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
Shida yenu makafiri ni kukosa Akili.na kutokana na kukosa kwenu akili HADI watu kama mwamposa wanaamua kuwapiga pesa tuh.Vipi huyu Professor Wako Mvaa kobazi kakutumia uje Jamvini Ulete Oja Zake ili Watu Wamtetee Nini? Mwambie Akuzaliwe na kile Cheo Cha UCAG, Kila Dhama na Wakati Wake, Wenziwe kina Beno ndulu Wako Ughaibuni Wanapiga Pesa ndefu, Yeye kutwa Analialia Arudishwe Cheo Chake, ni Aibu Sana Kwa Msomi kama yule kulialia Mitandaoni, Mwambie Mfia Dini Mwenzio Anatia Aibu
This comes as a response to those cockroaches who claim that the former CAG is crying a river for being removed from that Post years back.Why don you address this to Samia Suluhu? Why she can not help Mr Said from crying?
Why Samia administration is quite? Why Samia ca not help his Muslim brother from depression?
Adai haki yake kwa chura kiziwi, au aende mahakamani, au asome albadili, au asome kurujuan, au umma wa allah muandamane kumdaia haki yake, au vaeni mabomu mjitoe mhanga mpaka apewe haki yakeHaki yake ni kulipwa STAHIKI ZAKE AKIWA TAYARI AMESHAFIKISHA MIAKA 60.,SASA HAKULIPWA NA KAONDOLEWA KINYUME NA UTARATIBU.
Kama ambavyo sheikh sharif majini anavyokula pesa za miislamu mijinga, kama ambavyo miislamu mijinga inavyotoa hela kusomewa dua,Shida yenu makafiri ni kukosa Akili.na kutokana na kukosa kwenu akili HADI watu kama mwamposa wanaamua kuwapiga pesa tuh.
Au papa anaamua tuh kuwaambia mfunge ndoa za jinsia MOJA na nyinyi mnakubali tuh.
Hakuna sehemu ambaoo Prof Assad analalamika,kudai stahiki zako siyo kulalamika.
Ni haki yake kudai stahiki zake,siyo kurudishwa kwenye nafasi yake,elewa wewe muimba kwaya...haki kudaiwa ni wajibu.
Hiv aliweka msikiti au sehemu ya kuswalia???Makafiri hawatoacha kuusakama uislam mpaka mwisho wa dunia......leo ktk ofisi za umma kuckia kwaya ni jambo la kawaida tu na hata sikukuu zenu kuweka mapambo ktk ofisi hizo wala hukuti watu wakipiga kelele kwa kuwa Allah ameshabainisha chuki zenu.Jamaa chenga sana,aliweka mpaka sehemu ya kuswalia Ofisini.Ofice ya Umma unaenda kuweka sehemu ya kuswali.Huki akijua fika Serikali haina dini.
Ila makafiri akili hayana kabsa,masista yanavaa shungi ila yenyw yapo.yapo tuNA TUNAJUA HATA SAMIA MNAMPIGA VITA SABABU TUH ANAVAA USHUNGI,NA MNAMCHUKIA SABABU TUH YA CHUKI ZENU ZA UDINI.