Inashangaza pale ambapo Profesa Assad anapozungumzia kuhusu kuondolewa kwake kinyume cha katiba, watu wengine wanasema eti akubali matokeo

Inashangaza pale ambapo Profesa Assad anapozungumzia kuhusu kuondolewa kwake kinyume cha katiba, watu wengine wanasema eti akubali matokeo

Napingana na alichofanyiwa, lakini napingana na kulialia kwake pia.
Atafute suluhisho kama mtu aliyeelimika. Hizi media zitamshushia hadhi yake.
Kama kudai haki ni kulalamika basi Wacha ibakie kuwa hivyo, case Iko mahakamani.,hata wakiamua vinginevyo.
 
Utaratibu unatakaje baada ya kuondolewa kinyume na utaratibu ?

Je haki yake ni kulalamika ama inabidi arudishwe kwa sasa hivi ?

Nauliza kwa sasa hivi sheria inataka afanyiwe nini profesa mussa ?
Tutasubiri majibu ya Mahakama.

Yeye alichofanya ni kutaka Mahakama itoe tafsiri ya kilichofanyika,kwa kuwa ni mara ya Kwanza kufanyika ndani ya Taifa hili.

Let's say keshafikisha Miaka 60,kama alidhulumiwa kuondolewa before hajafikisha hiyo Miaka basi apewe stahiki zote zoote.
 
Yaani mna wa imani yenu na mnalialia bado,,,kweli kulialia ni jadi yenu makobazi
Makobazi unayoyachukia ndiyo yanatamba Ikulu sasa .

Kama nawaona roho zenu za chuki zinavyosokota makafiri.
 
Makobazi unayoyachukia ndiyo yanatamba Ikulu sasa .

Kama nawaona roho zenu za chuki zinavyosokota makafiri.
Sasa wanatamba ila bado unalialia kuna faida gani sasa.....uzuri tunaipenda ile katiba yetu aka kale kakitabu,,,mwanzo kabisa inasema serikali haina dini wagwaaan
 
Kama kudai haki ni kulalamika basi Wacha ibakie kuwa hivyo, case Iko mahakamani.,hata wakiamua vinginevyo.
Yeye kama msomi ambaye amewahi kuketi kwenye ofisi kubwa, hawezi 'kulalamika' kama akina yakhe.
Aiache mahakama ifanye kazi yake.
 
Yan wagalatia miyeyusho sana mtu ukiwa una swali tu wanakuona mdini
Au ukivaa kanzu tu wanakuona mdini

Hawa jamaa zetu wamekuwa brainwashed sana na wazungu aiseee
 
Kama anastahili kupewa haki zake basi apewa haki zake.
Vipi huyu Professor Wako Mvaa kobazi kakutumia uje Jamvini Ulete Oja Zake ili Watu Wamtetee Nini? Mwambie Akuzaliwe na kile Cheo Cha UCAG, Kila Dhama na Wakati Wake, Wenziwe kina Beno ndulu Wako Ughaibuni Wanapiga Pesa ndefu, Yeye kutwa Analialia Arudishwe Cheo Chake, ni Aibu Sana Kwa Msomi kama yule kulialia Mitandaoni, Mwambie Mfia Dini Mwenzio Anatia Aibu
 
Nimekuwekea hapo ARTICLE 144 YA JAMHURI YA MUUNGANO AMBAYO IMEKIUKWA KATIKA KUONDOLEWA KWAKE

SASA KAMA KUDAI HAKI NI KULIA HIYO NI JUU YAKO,NA NIMEKUONA WEWE NA WENZAKO MNALISHUPALIA SANA HILO SUALA.

SASA WAFIKISHIE UJUMBE KUWA KUDAI HAKI SIYO KULALAMIKA.

AKAZE MAKALIO APAMBANE NA MAISHA YAKE AACHE KULIA LIA. YEYE NI. CAG WA KAWAIDA KAMA WENGINE. INGAWA TUNATAKA KUMKUZA SANA. BUT YEYE MWENYEWE ANAONESHA UDHAIFU. HANA JIPYA ANALIA LIA KAMA TOTO LINALODEKA. AKAZE MAKALIO.
 
Friends and Our Enemies.

Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.

Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.

Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.

Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.

Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.

Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.

Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??

Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??

Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.

Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19

(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.

(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the

Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.


(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.

(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.

(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic

. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.


Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.

Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
Poleni sana watanzania wenzangu kwa msiba huu rulionao wa kutozingatia matakwa ya katiba kwenye uendeshaji wa shughuli za Serikali. Kama imefikia pahala Raia anaita katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kijitabu,itoshe kusema kuwa hii ni dharau kwa Taifa,na matokeo yake ni ukiukwaji wa misingi ya katiba.

Itoshe kusema kuwa CCM na utawala wake ukae pembeni.
 
SIKU MOJA ASTAAFU KAZI KIVIPI??....BY THE TIME ANAONDOLEWA ALIKUWA BADO KAMA MIAKA MINNE AFIKISHE MIAKA 60,SASA UNASEMAJE KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA??LABDA USEMA KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA KUFIKISHA MIAKA 55.
aliondolewa au alistaafu? anapata mafao ya uCAG au hapati? aliteuliwa au alijiteua.l yeye alifikiri kwasababu ya kinga za kikatiba za CAG basi yupo juu ya kila mtu hata akileta uhafidhina wake wa ajabu ajabu. ndio mjifunze, hapa sio afiganistan.
 
aliondolewa au alistaafu? anapata mafao ya uCAG au hapati? aliteuliwa au alijiteua.l yeye alifikiri kwasababu ya kinga za kikatiba za CAG basi yupo juu ya kila mtu hata akileta uhafidhina wake wa ajabu ajabu. ndio mjifunze, hapa sio afiganistan.
Mbona unaongea kama Leo hujakanyaga mafuta kwa mwamposa?

Hapa siyo Afghanistan,kwani nani kakueleza kuwa hapa ni Vatican?

Ulishaelezwa kuwa muda wa kustaafu CAG ni Miaka 60,Miaka 55 hiyo ni hiyari yake mwenyewe aamue kustaafu.

Jamaa yako Mwendazake alimuondoa kwa lazima alipofikisha Miaka 55,kitu usichoelewa mwana kondoo wa mwamposa?
 
AKAZE MAKALIO APAMBANE NA MAISHA YAKE AACHE KULIA LIA. YEYE NI. CAG WA KAWAIDA KAMA WENGINE. INGAWA TUNATAKA KUMKUZA SANA. BUT YEYE MWENYEWE ANAONESHA UDHAIFU. HANA JIPYA ANALIA LIA KAMA TOTO LINALODEKA. AKAZE MAKALIO.
Ukikaza wewe makalio inatosha,siyo kila mtu ana makalio yaliyolegea kama yako ambayo yanahitajika kukazwa.

Ni Profesa Pekee ambae alikuwa hero kusimama na kumdindia Jamaa yenu dikteta uchwara na akasimamia kauli zake.

Na HADI Leo BADO yupo imara kudai haki zake.
 
Friends and Our Enemies.

Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.

Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.

Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.

Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.

Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.

Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.

Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??

Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??

Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.

Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19

(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.

(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the

Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.


(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.

(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.

(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic

. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.


Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.

Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
Why don you address this to Samia Suluhu? Why she can not help Mr Said from crying?
Why Samia administration is quite? Why Samia ca not help his Muslim brother from depression?
 
Vipi huyu Professor Wako Mvaa kobazi kakutumia uje Jamvini Ulete Oja Zake ili Watu Wamtetee Nini? Mwambie Akuzaliwe na kile Cheo Cha UCAG, Kila Dhama na Wakati Wake, Wenziwe kina Beno ndulu Wako Ughaibuni Wanapiga Pesa ndefu, Yeye kutwa Analialia Arudishwe Cheo Chake, ni Aibu Sana Kwa Msomi kama yule kulialia Mitandaoni, Mwambie Mfia Dini Mwenzio Anatia Aibu
Shida yenu makafiri ni kukosa Akili.na kutokana na kukosa kwenu akili HADI watu kama mwamposa wanaamua kuwapiga pesa tuh.

Au papa anaamua tuh kuwaambia mfunge ndoa za jinsia MOJA na nyinyi mnakubali tuh.

Hakuna sehemu ambaoo Prof Assad analalamika,kudai stahiki zako siyo kulalamika.

Ni haki yake kudai stahiki zake,siyo kurudishwa kwenye nafasi yake,elewa wewe muimba kwaya...haki kudaiwa ni wajibu.
 
Why don you address this to Samia Suluhu? Why she can not help Mr Said from crying?
Why Samia administration is quite? Why Samia ca not help his Muslim brother from depression?
This comes as a response to those cockroaches who claim that the former CAG is crying a river for being removed from that Post years back.

To make things clear he's not crying,he is fighting for his rights.

And so far he has already addressed the matter to the government,why should he have to address it to Samia?It's not a personal matter..
 
Haki yake ni kulipwa STAHIKI ZAKE AKIWA TAYARI AMESHAFIKISHA MIAKA 60.,SASA HAKULIPWA NA KAONDOLEWA KINYUME NA UTARATIBU.
Adai haki yake kwa chura kiziwi, au aende mahakamani, au asome albadili, au asome kurujuan, au umma wa allah muandamane kumdaia haki yake, au vaeni mabomu mjitoe mhanga mpaka apewe haki yake
 
Shida yenu makafiri ni kukosa Akili.na kutokana na kukosa kwenu akili HADI watu kama mwamposa wanaamua kuwapiga pesa tuh.

Au papa anaamua tuh kuwaambia mfunge ndoa za jinsia MOJA na nyinyi mnakubali tuh.

Hakuna sehemu ambaoo Prof Assad analalamika,kudai stahiki zako siyo kulalamika.

Ni haki yake kudai stahiki zake,siyo kurudishwa kwenye nafasi yake,elewa wewe muimba kwaya...haki kudaiwa ni wajibu.
Kama ambavyo sheikh sharif majini anavyokula pesa za miislamu mijinga, kama ambavyo miislamu mijinga inavyotoa hela kusomewa dua,
Kama ambavyo mtume mudi alivyokulana na al hussein
Lazima assad apewe haki yake hata ikibidi kujivika mabomu ajitoe mhanga
 
Jamaa chenga sana,aliweka mpaka sehemu ya kuswalia Ofisini.Ofice ya Umma unaenda kuweka sehemu ya kuswali.Huki akijua fika Serikali haina dini.
Hiv aliweka msikiti au sehemu ya kuswalia???Makafiri hawatoacha kuusakama uislam mpaka mwisho wa dunia......leo ktk ofisi za umma kuckia kwaya ni jambo la kawaida tu na hata sikukuu zenu kuweka mapambo ktk ofisi hizo wala hukuti watu wakipiga kelele kwa kuwa Allah ameshabainisha chuki zenu.
 
Back
Top Bottom