Inashangaza pale ambapo Profesa Assad anapozungumzia kuhusu kuondolewa kwake kinyume cha katiba, watu wengine wanasema eti akubali matokeo

Inashangaza pale ambapo Profesa Assad anapozungumzia kuhusu kuondolewa kwake kinyume cha katiba, watu wengine wanasema eti akubali matokeo

Katiba kukiukwa ni kawaida kwa Tanzania,lilishapigiwa kelele hili sana tuu,labda wewe ulikuwa peponi na mabikira 72.

Prof. Assad ni rafiki yangu, nimemwambia aache kuongelea hilo maana itaonekana kuwa ana kinyongo bado.
AACHE KUONGELEA VIPI SASA,YAANI AACHE KUDAI STAHIKI KISA NYINYI MTACHUKIA AU MTAMUONA ANA KINYONGO??
 
Kama aliona hakutendewa haki angekwenda Mahakamani,kipindi kile kile sio kulia lia hapa sasa hivi.
 
Kama anastahili kupewa haki zake basi apewa haki zake.
Pro Asad hajafanya lolote baya. Infact amefanya jambo la maana sana kuelezea jinsi viongozi wetu wanavyofanya nchi kama familia zao. Kuweka rekodi kama hizi inasaidia sana ili tujue matatizo yanayotukabili kwani kilichompa Asad ni hujuma kwa watanzania wote. Hawa wote wanaopiga kelele ni wajinga na nadhani wengi elimu zao ni ndogo.
 
kinachoshangaza zaidi, alibakisha siku moja tu astaafu kazi, siku zote amekuwa akipigania haki ya siku hiyo moja. nadhani, na kupata masurufu ya asilimia ya mshahara hadi atakapostaafu ndio kilio chake. alicheza na jiwe, likamkwangua, ajilaumu mwenyewe.
SIKU MOJA ASTAAFU KAZI KIVIPI??....BY THE TIME ANAONDOLEWA ALIKUWA BADO KAMA MIAKA MINNE AFIKISHE MIAKA 60,SASA UNASEMAJE KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA??LABDA USEMA KUWA ALIBAKISHA SIKU MOJA KUFIKISHA MIAKA 55.
 
Pro Asad hajafanya lolote baya. Infact amefanya jambo la maana sana kuelezea jinsi viongozi wetu wanavyofanya nchi kama familia zao. Kuweka rekodi kama hizi inasaidia sana ili tujue matatizo yanayotukabili kwani kilichompa Asad ni hujuma kwa watanzania wote. Hawa wote wanaopiga kelele ni wajinga na nadhani wengi elimu zao ni ndogo.
Nashukuru sana kwa kumwelezea huyo,ajabu sana hawa eti wana fikiria kuwa eti analalamika.

Haki haikutendeka,lazima haki itafutwe.
 
Kwa kigezo gani ni mdini? Mbona kwenye kudai kwake stahiki zake, hatujaona akitumia aya yoyote ile ya Qur'an zaidi ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Watu wa ajabu sana,mtu kudai haki yake kisa tuh kawa muislam basi anageuka kuwa mdini??na ukiwaacha hawa watu waendelee kuzungumza hivi watadhani kuwa wanachokifanya ni sahihi.
 
Friends and Our Enemies.

Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.

Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.

Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.

Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.

Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.

Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.

Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??

Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??

Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.

Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19

(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.

(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the

Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.


(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.

(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.

(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic

. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.


Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.

Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
CCM mmemwonea sana huyu Mzee kwasababu akikuwa Mtu wa kunyoosha bila kupindisha pindisha
 
Jamaa chenga sana,aliweka mpaka sehemu ya kuswalia Ofisini.Ofice ya Umma unaenda kuweka sehemu ya kuswali.Huki akijua fika Serikali haina dini.
Shida nini??muislam ni mtu anaeswali five prayers kwa siku.

Kuna ubaya gani muda wa swala mtu akajifanyia zake ibada,mbona nyinyi mnabeba hadi misalaba na kuweka maofisini au kupiga nyimbo za injili??kila mtu ana ibada zake...MAKAFIRI ACHENI CHUKI ZENU.
 
Kwa kigezo gani ni mdini? Mbona kwenye kudai kwake stahiki zake, hatujaona akitumia aya yoyote ile ya Qur'an zaidi ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
MAKAFIRI SIKU ZOTE NI WATU WA CHUKI TUH,NA YULE JAMAA YAO MWENDAZAKE ALIKUWA NI KINARA ZA HIZO CHUKI,

BILA SHAKA,ALIWACHUKIA DR DAU NA PROF ASSAD SABABU TUH YA CHUKI ZAKE NA UISLAM NA IMANI YAO,YUKO WAPI SASA NA CHUKI ZAKE??

MAKAFIRI CHUKI ZAO NDIYO CHANZO CHA KUUMIA KWAO ROHO NA KUFA.
 
Nimekuwekea hapo ARTICLE 144 YA JAMHURI YA MUUNGANO AMBAYO IMEKIUKWA KATIKA KUONDOLEWA KWAKE

SASA KAMA KUDAI HAKI NI KULIA HIYO NI JUU YAKO,NA NIMEKUONA WEWE NA WENZAKO MNALISHUPALIA SANA HILO SUALA.

SASA WAFIKISHIE UJUMBE KUWA KUDAI HAKI SIYO KULALAMIKA.
Uzuri kwa sasa ni wa imani yake,,,, angekua mgalatia naona kilio kingefikishwa hadi dubei kwa ami.....akimsikia atamsaidia ndugu yake katika imani
 
Uzuri kwa sasa ni wa imani yake,,,, angekua mgalatia naona kilio kingefikishwa hadi dubei kwa ami.....akimsikia atamsaidia ndugu yake katika imani
ISHU SIYO KUWA HUYU NI MTU WA IMANI GANI,HAKI ITENDEKE PASIPO NA KUANGALIA HUYU NI MTU WA IMANI GANI.

SHIDA YA MAKAFIRI WENGI WAO NI KUDHANI KUWA CHUKI ZAO DHIDI YA UISLAM NA WAISLAM BASI ZINAWEZA KUWAFANYA WAISLAM WAKAWA WANYONGE KATIKA KUDAI HAKI NA STAHIKI ZAO,HILO HALIPO.

HATA KAMA RAIS ANGEKUWA NI KAFIRI,BADO HAKI INGEDAIWA VILE VILE.
 
Kamlilie ustaadhat
ISHU SIYO KUWA HUYU NI MTU WA IMANI GANI,HAKI ITENDEKE PASIPO NA KUANGALIA HUYU NI MTU WA IMANI GANI.

SHIDA YA MAKAFIRI WENGI WAO NI KUDHANI KUWA CHUKI ZAO DHIDI YA UISLAM NA WAISLAM BASI ZINAWEZA KUWAFANYA WAISLAM WAKAWA WANYONGE KATIKA KUDAI HAKI NA STAHIKI ZAO,HILO HALIPO.

HATA KAMA RAIS ANGEKUWA NI KAFIRI,BADO HAKI INGEDAIWA VILE VILE.
 
Huyo Profesa wa kulia Lia kazidi kudeka.
Huyo siyo Profesa uchwara kama hao mapropesa wa KANISA.

Ni the only Profesa ambae alisimama katika weledi wake na kuliambia ukweli bunge dhaifu la ndugai,na hata jamaa yenu dikteta uchwara,wote aliwadindia na kusimama kidete,huyo ndie Profesa anaejitambua sasa.
 
Friends and Our Enemies.

Nimeona Mjadala kumuhusu aliekawa CAG Ngangari kabisa kuwahi kutokea ndani ya TAIFA HILI ukiendelea mitandaoni hususani hapa JF.

Hii imekuja baada ya yale mahojiano baina yake na mtangazi wa Crown Tv Salim Kikeke katika kipindi chake cha Kasri la kikeke.

Alichozungumza Prof ASSAD katika mahojioano yale siyo kulalamika wala kuumia kwa yeye kuondolewa katika nafasi ile.

Bali alichozungumza yeye ni kwamba kitendo cha yeye kuondolewa hakikuwa kitatiba kama inavyosema ARTICLE 144 ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Mara baada ya yeye kuondolewa kwenye nafasi hiyo kwanza alikaa muda mrefu sana pasi na kupewa stahiki zake,lakini sasa baada ya kufuatilia kwa muda mrefu serikalini mwishowe akapewa stahiki zake kwa maana ya kuingizwa kwa malipo yake BANK.

Kama ilivyo ada kwa mtu yeyote,lazima mtu utake kuona mchanganuo wa hiyo LUMPSUM AMOUNT ambayo umelipwa na viambatanisho vya wewe kulipwa hizo stahiki zako.

Barua aliyopewa yeye inayojustify kulipwa kwa fedha hizo imesema kwamba ni malipo kwa ajili ya Voluntary Retirement kutoka kwenye position yake ya CAG.

Lakini anachosema yeye ni kwamba yeye hakuvoluntere kuretire..kilichofanyika ni kuondolewa kwa nguvu kutoka kwenye nafasi hiyo,Forceful Termination.,kwanini mamlaka kipindi hiko iseme uongo juu ya kumuondoa kwake??

Hiyo ndiyo hoja yake,na siyo kwamba yeye analalamika kuwa angependa kuendelea na nafasi hiyo la hasha,hata kama mtu anaondolewa basi si ni lazima taratibu za kikatiba zifuatwe??

Kufuatia na dhulma hiyo,alichofanya yeye ni kufile case mahakamani,kwani yeye hakuresign wala hakuvoluntere kuondoka katika nafasi ile,kwa maana hiyo ni wazi kwamba kuna maslahi yake ameyakosa ambayo alistahili kuyapata,kama umri wa kustaafu ni miaka 60,na yeye kaondolewa kabla ya umri huo maana yake ni kwamba kuna miaka kadhaa mbele ambayo amenyimwa stahiki zake kikatiba.

Soma Pia: Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

ARTICLE 144 YA KATIBA YA JAMUHRI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HII HAPA CHINI;

144.-(1) Without prejudice to the other provisions of this Article, theController and Auditor-General of the United Republic shall be obliged to vacate office upon attaining the age of sixty or any other age which shall be prescribed by a law enacted by Parliament.Act No.15of 1984Art.43Act No.12of 1995Art.19

(2) The Controller and Auditor-General may be removed from office only for inability to perform the functions of his office (either due to illness or to another reason) or for misbehavior, or for violating the provisions of the law-concerning the ethics of public leaders and shall not be so removed except in accordance with the provisions of sub article (4) of this Article.

(3) if the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows a) the President shall appoint a Special Tribunal which shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and at least half of the other members of that Special Tribunal shall be persons who are or have been Judges of the High Court or of the

Court of Appeal in any country within the Commonwealth;(b) the Special Tribunal shall investigate and submit report to the President on whole matter and shall advise him whether or not the Controller and Auditor General should be removed from office in accordance with the provisions of this Article on the grounds of inability to perform his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior.


(4) If the Special Tribunal appointed in accordance with the provisions of sub article (3) advises the President that the Controller and Auditor-General be removed from office on grounds of inability to perform functions of his office due to illness or any other reason or on grounds of misbehavior, then the President shall remove him from office.

(5) If the question of removing the Controller and Auditor-General has been referred to a Special Tribunal for investigation pursuant to the provisions of this Article, the President may suspend the Controller and Auditor-General from office, and the President may at any time rescind the decision to suspend the Controller and Auditor-General and in any case such decision shall lapse if the Special Tribunal advises the President that the Controller and Auditor-General be not removed from office.

(6) A person who holds or who has held the office of Controller and Auditor-General shall not be appointed to, or act in, any other office in the service of the Government of the Untied Republic

. (7) The provisions of this Article shall not apply to any person appointed acting Controller and Auditor-General.


Kwahiyo ni haki kwa Prof Assad kuendelea kudai haki na stahiki zake.

Ni wazi kuwa mwendazake alikuwa hataki kufanya kazi na Prof Assad lakini alipaswa afuate utaratibu,na hata kama yeye mwendazake hayupo hivi sasa,jambo lile hakufanya yeye kama mwendazake,alifanya yeye kama Rais,na Taasisi hiyo bado ipo na yeye bado anayo haki ya kufuatilia stahiki zake.
Basi afungue kesi mahakamani wewe ulitaka afanyaje?
 
Kamlilie ustaadhat
Huyo hana haja ya kulia,lazima utambue kuwa huyo ni mwanaume kweli kweli, jamaa yenu jiwe mlikuwa mnajinyea akiongea,ila yeye alisimama na kumweleza ukweli kuwa hii 1.5Trillion haijulikani ilipo na jiwe akanywea HADI akaona amtimue kinyume cha katiba.

Alisimama na kumwambia spika ndugai kuwa bunge lako ni dhaifu na akasimamia kauli yake.

Makafiri siku zote hamuwataki wapenda haki.
 
Back
Top Bottom