Huu ni utani na wananchi ambao hawana ajira. Jiji la Arusha mlifikiria hili mkiwa wazima wa afya. Enyi serikali hebu wajarini wananchi wenu kwa usawa.
Watu hawana ajira, inatokea ajira ya muda badala muwape ajira wasiokuwa na ajira mnawapa wenye ajira?Wacha tukae bila ajira Wala pesa. Tutashinda huku mitandaoni kuwasema hadi mlewe. Wabinafsi wakubwa nyie. Keki ya Taifa hamtaki kutugea na sisi wananchi.
wananchi wenzangu, nafasi za kazi hizo hapo...lakini ni kwa watumishi tu.
Watu hawana ajira, inatokea ajira ya muda badala muwape ajira wasiokuwa na ajira mnawapa wenye ajira?Wacha tukae bila ajira Wala pesa. Tutashinda huku mitandaoni kuwasema hadi mlewe. Wabinafsi wakubwa nyie. Keki ya Taifa hamtaki kutugea na sisi wananchi.
wananchi wenzangu, nafasi za kazi hizo hapo...lakini ni kwa watumishi tu.