Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Tundu Lissu ni Baba wa Watanganyika, 2025 tunaenda na Baba. Samia Aachie nchi yetu
Bashitte hajawahi kuwa upande wa jiwe Ile ilikuwa njaa tuUnamaanisha kina makonda wanamuunga mkono lissu? Haiwezi kuwa kweli
Kwa hiyo ni kina nani hao timu magufuli wapo kwa lissu?Bashitte hajawahi kuwa upande wa jiwe Ile ilikuwa njaa tu
Lissu ni msema kweliMpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Waorodheshe ili tuwatafitiMpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Hizo timu zimesha tudunisha vya kutosha,tunataka timu tofauti kwa umoja wetu.Mpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Ndio Siasa..Mpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Kwanini JPM hakumuelewa Lissu!?Lissu ni msema kweli
Mzalendo wa kweli, kama alivyokuwa JPM
Tuna msapoti kwasababu Magufuli hatendewi haki na mrithiMpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Kama hujaropoka kama Lissu tutajie jina moja tu la mtu ambaye ni Timu Magufuli anamsapoti Lissu. Usiootaja basi jua umeropoka!!Mpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!