Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Pole sana, hilo hata kama tutaishi miaka 3000 halitokuja kutokea.Natamani sana LISSU awe rais wa nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, hilo hata kama tutaishi miaka 3000 halitokuja kutokea.Natamani sana LISSU awe rais wa nchi hii
Japo hatujamsamehe bado kwa kumuita mzee wetu dikteta uchwara ila twende nae kwanza tutajua huko mbeleni
Kama hujaropoka kama Lissu tutajie jina moja tu la mtu ambaye ni Timu Magufuli anamsapoti Lissu. Usiootaja basi jua umeropoka!!
Tuwekee majibu ya tafiti zako hapa jukwaani, tofauti na hapo ni uzushi tu uo.Mpo salama Kabisa!
Kuna Jambo linashangaza Sana.
Asilimia kubwa ya wafuasi wa Magufuli wanamuunga Mkono Tundu Lisu licha ya kuwa Wawili hao walikuwa mahasimu Wakubwa.
Lakini Leo hii wafuasi hao wameamua kumuunga Mkono Tundu Lisu.
Hii inamaanisha Jambo gani Hasa?
Wakati kwa upande wa pili Wanaomuunga Mbowe Mkono wengi wao ni Timu Msoga.
Hii inamaanisha nini?
Tupo hatupo!
Ahahahahaha!Wapo wengi Sana