Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 358
- 831
Hio post imepostiwa n mtz mwenye ushahidi wa uraia wake Kwa kutumia vitambulisho vyote official vinavyotambuliwa n serikali yetu in a chronological order.Mlipokuwa mnamtukana Magufuli na kumuuamini mzungu mlifikiri hatuoni? Na vile vikao vyenu uchwara vya kwenye video sijui viliwasaidia kitu gani;
Bro nenda kaombe ada yako uliposea.Kwanza watanania ndio nini?
Ulichokiandika nilikuelewa kabisa ila maana yangu ya kukuliza swali hilo mzee maandishi yako unakosea sana kuandika kuna error kadhaa hivyo nilitaka uhakikishe bandiko lako.Bro nenda kaombe ada yako uliposea.
Tanzania ni jina linaloundwa n herufi kama nyingine, sema zikiunganishwa zilateta mantiki ya utambulishi ya watu wa nchi fulani, nchi yetu. Tz ni jina tu, sema uhalisia wa tz ndio sisi tunauishi. Utaskia Tanzania imefanya hili au lile, kaka, tz haina miguu wala mikono ya kufanya jambo. Ni sisi Watanzania ndio tunaofanya ivyo vitu, kumaanisha we are the living Tanzania. Kwaivyo, mimi kuitaja Tanzania ni tafsida tu iliyohtumika kuwakilisha ujumbe kwa Tanzania themselves. Tumeelewana?
Nimeupost huu uzi maana hapa maana ujumbe huu unawahusu watu wote. Ingekuwa inamhusu sumaye nisingekuja uku, ningeenda kwenye jamvi la siasaaaaa
Easyulichokiandika nilikuelewa kabisa ila maana yangu ya kukuliza swali hilo mzee maandishi yako unakosea sana kuandika kuna error kadhaa hivyo nilitaka uhakikishe bandiko lako.