INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

Hayana umuhimu,tuweke utaratibu tu mzuri wa makaburi ya umma yakae kwa miaka 20,ikizidi hapo aweze kuvunjwa shughuli nyingine za maendeleo ziendelee, ukitaka kabuli lako lidumu milele zika ktk eneo lako binafsi aidha shamba au nyumba!!
 
Kun makaburi tunayalinda lkn ukifuatilis ktk historia familia /ukoo wao ulishapotea kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…