INASIKITISHA: MTIBWA BADO HAWAJALIPWA USAJILI WA MSHERI

INASIKITISHA: MTIBWA BADO HAWAJALIPWA USAJILI WA MSHERI

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
ile klabu bora Tanzania na afrika mashariki na inayoogopeka Afrika nzima the dar young africans bado haijalipa pesa ya usajili wa kipa mshery toka mtibwa

Klabu hiyo inayoendeshwa kisasa kabisa kwa kufata mfumo wa klabu za la liga pamoja na kupigiwa kelele kwa muda mrefu bado imekausha kimyaaaaaaa

haijulikani kama ni kiburi cha pesa waliyoweka huko Tff mwaka jana kupitia Gsm na kutaka simba ivae logo za gsm kwa milions 3 kwa mwezi au ni nini haswa maana hata deal hilo la ajabuajabu liliperuka hewani huko klabu viherehere waliokubali kuvaa nembo hiyo begani havijalipwa hadi leo na vimeufyata

Wakati unaendelea kujiuliza jeuri hii inatokea wapi usije shangaa majibu ya yule ropokaji lao kumtukana matusi ya nguoni Rais wa Tff yakaja tofauti kabisa maana hadi sasa haijulikani jeuri yao haswa iko wapi probably ile billions 2 bado iko huko Tff
msheri.JPG
 
ile klabu bora Tanzania na afrika mashariki na inayoogopeka Afrika nzima the dar young africans bado haijalipa pesa ya usajili wa kipa mshery toka mtibwa

Klabu hiyo inayoendeshwa kisasa kabisa kwa kufata mfumo wa klabu za la liga pamoja na kupigiwa kelele kwa muda mrefu bado imekausha kimyaaaaaaa

haijulikani kama ni kiburi cha pesa waliyoweka huko Tff mwaka jana kupitia Gsm na kutaka simba ivae logo za gsm kwa milions 3 kwa mwezi au ni nini haswa maana hata deal hilo la ajabuajabu liliperuka hewani huko klabu viherehere waliokubali kuvaa nembo hiyo begani havijalipwa hadi leo na vimeufyata

Wakati unaendelea kujiuliza jeuri hii inatokea wapi usije shangaa majibu ya yule ropokaji lao kumtukana matusi ya nguoni Rais wa Tff yakaja tofauti kabisa maana hadi sasa haijulikani jeuri yao haswa iko wapi probably ile billions 2 bado iko huko Tff
View attachment 2295195
Sasa watu wameweka kambi Morogoro unadhani watapata wapi hiyo hela ya kulipa marejesho?
 
Waelevu wameona ni upuuzi kujadili upuuzi.

No wonder kuna komenti 1 tu [emoji23][emoji23]
 
ile klabu bora Tanzania na afrika mashariki na inayoogopeka Afrika nzima the dar young africans bado haijalipa pesa ya usajili wa kipa mshery toka mtibwa

Klabu hiyo inayoendeshwa kisasa kabisa kwa kufata mfumo wa klabu za la liga pamoja na kupigiwa kelele kwa muda mrefu bado imekausha kimyaaaaaaa

haijulikani kama ni kiburi cha pesa waliyoweka huko Tff mwaka jana kupitia Gsm na kutaka simba ivae logo za gsm kwa milions 3 kwa mwezi au ni nini haswa maana hata deal hilo la ajabuajabu liliperuka hewani huko klabu viherehere waliokubali kuvaa nembo hiyo begani havijalipwa hadi leo na vimeufyata

Wakati unaendelea kujiuliza jeuri hii inatokea wapi usije shangaa majibu ya yule ropokaji lao kumtukana matusi ya nguoni Rais wa Tff yakaja tofauti kabisa maana hadi sasa haijulikani jeuri yao haswa iko wapi probably ile billions 2 bado iko huko Tff
View attachment 2295195
Lipia wewe basi! Si una hela za kutosha kutokana na ile kazi yako ya uwakala wa wachezaji?
 
ile klabu bora Tanzania na afrika mashariki na inayoogopeka Afrika nzima the dar young africans bado haijalipa pesa ya usajili wa kipa mshery toka mtibwa

Klabu hiyo inayoendeshwa kisasa kabisa kwa kufata mfumo wa klabu za la liga pamoja na kupigiwa kelele kwa muda mrefu bado imekausha kimyaaaaaaa

haijulikani kama ni kiburi cha pesa waliyoweka huko Tff mwaka jana kupitia Gsm na kutaka simba ivae logo za gsm kwa milions 3 kwa mwezi au ni nini haswa maana hata deal hilo la ajabuajabu liliperuka hewani huko klabu viherehere waliokubali kuvaa nembo hiyo begani havijalipwa hadi leo na vimeufyata

Wakati unaendelea kujiuliza jeuri hii inatokea wapi usije shangaa majibu ya yule ropokaji lao kumtukana matusi ya nguoni Rais wa Tff yakaja tofauti kabisa maana hadi sasa haijulikani jeuri yao haswa iko wapi probably ile billions 2 bado iko huko Tff
View attachment 2295195
Wakala wa mchezaji anakwambia akuna pesa ambayo mtibwa anaidai yanga wewe unakuja na ulevi wako sijui wa kimpumu unatutapikia uharo wako hapa, Hivi yanga ingekuwa aijalipa pesa ya usajili mpaka sasa uyo dogo ina maana hana wasimamizi? Kwaiyo amecheza yanga miezi 6 kwa mali kauli? Na mtibwa iwe aijalipwa ata mia unayosema huo mkataba unakuwa hai au unakuwa umevunjika automaticaly, Mambo ya mikataba unayaelewa wewe au unabwata tu kama bata
 
Wakala wa mchezaji anakwambia akuna pesa ambayo mtibwa anaidai yanga wewe unakuja na ulevi wako sijui wa kimpumu unatutapikia uharo wako hapa, Hivi yanga ingekuwa aijalipa pesa ya usajili mpaka sasa uyo dogo ina maana hana wasimamizi? Kwaiyo amecheza yanga miezi 6 kwa mali kauli? Na mtibwa iwe aijalipwa ata mia unayosema huo mkataba unakuwa hai au unakuwa umevunjika automaticaly, Mambo ya mikataba unayaelewa wewe au unabwata tu kama bata
we mlevi kesi ipo tff.... sasa asikilizwe wakala wa mchezaji au mtibwa team? umesikia kinachodaiwa ni signing fee? ni transfer fee pimbi weeee..mkimaliza mkalipe na zile za kuwavalisha watu linembo kwenye bega miezi sita bila kuwalipa
 
we mlevi kesi ipo tff.... sasa asikilizwe wakala wa mchezaji au mtibwa team? umesikia kinachodaiwa ni signing fee? ni transfer fee pimbi weeee..mkimaliza mkalipe na zile za kuwavalisha watu linembo kwenye bega miezi sita bila kuwalipa
Sawa ngoja tuone iyo transfer fees unayodai wanadai itafikia wapi, usiwe unajitia kimbelembele kwenye vitu usivyovijua, kwa taarifa yako akuna pesa ambayo mtibwa wanaidai yanga mpaka sasa, Usiwe unakurupuka kuleta mambo ya kijinga hapa usiyoyajua na sisi tunakuchora tu na kuona ulivyo mtupu kichwani, Kawaambie mtibwa wakamalizane na hao Moro kids pesa walizopewa za transfer kama walielekeza kwenye matumizi mengine watajua wao uko, Kama ndo umerukia jambo usilolijua kuwai kuweka uharo wako hapa ukidhani kila mtu ni mwezi mchanga Kama wewe basi nenda CAS uwasaidie hao mtibwa walipwe
 
Vilabu vingine nivyakuonea huruma tu, mara zote ni kukopa wachezaji, leo ni siku ya pili wanajadili jinsi ya kufika matombo....
 
Sawa ngoja tuone iyo transfer fees unayodai wanadai itafikia wapi, usiwe unajitia kimbelembele kwenye vitu usivyovijua, kwa taarifa yako akuna pesa ambayo mtibwa wanaidai yanga mpaka sasa, Usiwe unakurupuka kuleta mambo ya kijinga hapa usiyoyajua na sisi tunakuchora tu na kuona ulivyo mtupu kichwani, Kawaambie mtibwa wakamalizane na hao Moro kids pesa walizopewa za transfer kama walielekeza kwenye matumizi mengine watajua wao uko, Kama ndo umerukia jambo usilolijua kuwai kuweka uharo wako hapa ukidhani kila mtu ni mwezi mchanga Kama wewe basi nenda CAS uwasaidie hao mtibwa walipwe
mkurupukaji ni wewe bwasheee uliyesema meneja wa mchezaji kasema hadai kitu kumbe hujui hata tofauti ya transfer fee na signing fee....mbona unakuwa mkali kudaiwa? jamaa wa uturuki wanadaia millions 200...teams 14 zilivalishwa nembo begani kitapeli hadi leo hazijapewa chochote..mmewakosea sana mtibwa haswa moro kids wanaotegemea hiyo pasenti ya huo mgao..kesi zote mbili zipo tff
 
Back
Top Bottom