Inasikitisha nimekuta mwanaume na mwanamke wakimgombania mwanaume

Inasikitisha nimekuta mwanaume na mwanamke wakimgombania mwanaume

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa

Naweza tu kusema kuwa inasikitisha ile mbaya sana baada ya jana kufika dar nikitoka shule nilishangaa mwenyewe

Ile nafika mitaa ya sinza kwa remy nikakutana na ugomvi wa mawe kati ya mwanaume na mwanamke, ugomvi ulikuwa ni mkali sana had watu wakaingilia kati

Nikaona siyo mbaya ngoja niulize watu hawa wanagombania nini? Kwanini wasikae tu wakayamaliza? Si nikaambiwa hawa watu wanamugombania mwanaume, nikaendelea kuambiwa huyo mwanaume huwa anamchukua huyu mwanaume aliyekuwa anagombana na ashampangishia na chumba na huwa anamgalamikia kwa kila kitu lakin tena huyo mwanaume ambaye kapangishiwa chumba na mwanaume mwenzie kasikia kuwa mume wake huyo aliyempangishia chumba anatoka na huyu dada hivyo bas huyu mwanaume aliyeolewa kachukia na ana wivu sana ndo maana kaamua kuja kuanzisha tifu tifu ili huyu dada aachane na mume wake

Baada ya kusikia hivyo nilichoka mwenyewe nikanyosha mikono juu kwa haya mambo niliyo yaona huku daresaalamuu

Wanaume achen kupenda kitonga/miteremko tunaabishana sana aisee

Kwahiyo saiv dunia imefika hatua ya kuwa mwanaume na mwanamke wanamgombania mwanaume? Du inatisha
Ngoja nisikite kichatle hiiiiiiiiiiiii

LONDON BOY
 
Mambo mengine kuyazungumza ni kuyapa airtime
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa

Naweza tu kusema kuwa inasikitisha ile mbaya sana baada ya jana kufika dar nikitoka shule nilishangaa mwenyewe

Ile nafika mitaa ya sinza kwa remy nikakutana na ugomvi wa mawe kati ya mwanaume na mwanamke, ugomvi ulikuwa ni mkali sana had watu wakaingilia kati

Nikaona siyo mbaya ngoja niulize watu hawa wanagombania nini? Kwanini wasikae tu wakayamaliza? Si nikaambiwa hawa watu wanamugombania mwanaume, nikaendelea kuambiwa huyo mwanaume huwa anamchukua huyu mwanaume aliyekuwa anagombana na ashampangishia na chumba na huwa anamgalamikia kwa kila kitu lakin tena huyo mwanaume ambaye kapangishiwa chumba na mwanaume mwenzie kasikia kuwa mume wake huyo aliyempangishia chumba anatoka na huyu dada hivyo bas huyu mwanaume aliyeolewa kachukia na ana wivu sana ndo maana kaamua kuja kuanzisha tifu tifu ili huyu dada aachane na mume wake

Baada ya kusikia hivyo nilichoka mwenyewe nikanyosha mikono juu kwa haya mambo niliyo yaona huku daresaalamuu

Wanaume achen kupenda kitonga/miteremko tunaabishana sana aisee

Kwahiyo saiv dunia imefika hatua ya kuwa mwanaume na mwanamke wanamgombania mwanaume? Du inatisha
Ngoja nisikite kichatle hiiiiiiiiiiiii

LONDON BOY
Umeanza kusoma?
 
Back
Top Bottom