Inasikitisha pengine wasanii wetu hawapo huru wameamua kujihusisha na siasa ili kulinda kazi zao na mali zao

Inasikitisha pengine wasanii wetu hawapo huru wameamua kujihusisha na siasa ili kulinda kazi zao na mali zao

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Hali halisi inavyoonekena kwa nje kwa upande wa wasanii wetu kuonekana wakijihusisha na siasa hasa wengi wao kwa asilimia kubwa kuonekana kuunga mkono chama tawala inaweza isiwe kama tunavyo fikiri kwamba labda wanapenda kufanya hivyo.

Kwa mtizamo wangu nazani kwa mfumo wa siasa za hivi leo kwenye nchi yetu ni wazi kuwa wasanii hawapo huru wameamua kuunga mkono chama tawala ili kulinda kazi na mali walizo nazo.

Soma Pia: Wasanii mbalimbali watua Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM: Hivi, Wanaenda kwa lengo la Maendeleo au Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa?

Katika uhalisia idadi ya wasanii walio jiingiza kwenye siasa tena ya chama kimoja yani chama tawala sio ya kawaida hata kidogo sizani kama kuna nchi nyingine hapa afrika mashariki au afrika kwa ujumla zinafikia idadi hii,

Jambo hili ndio maana ninasema pengine wasanii wetu hawapo huru na inatia mashaka kwamba pengine wasanii wetu wapo kwenye control ya chama tawala hawapo huru.
 
Hali halisi inavyoonekena kwa nje kwa upande wa wasanii wetu kuonekana wakijihusisha na siasa hasa wengi wao kwa asilimia kubwa kuonekana kuunga mkono chama tawala inaweza isiwe kama tunavyo fikiri kwamba labda wanapenda kufanya hivyo.

Kwa mtizamo wangu nazani kwa mfumo wa siasa za hivi leo kwenye nchi yetu ni wazi kuwa wasanii hawapo huru wameamua kuunga mkono chama tawala ili kulinda kazi na mali walizo nazo.

Katika uhalisia idadi ya wasanii walio jiingiza kwenye siasa tena ya chama kimoja yani chama tawala sio ya kawaida hata kidogo sizani kama kuna nchi nyingine hapa afrika mashariki au afrika kwa ujumla zinafikia idadi hii,

Jambo hili ndio maana ninasema pengine wasanii wetu hawapo huru na inatia mashaka kwamba pengine wasanii wetu wapo kwenye control ya chama tawala hawapo huru.
Hakika
 
Tunaishi nao kinafki tu.
Kama mimi mikutano yote ya chama nahudhuria ila tukifika kwenye box la kura nawachinjia baharini.

Ukitaka biashara zako ziende na usisumbuliwe na mamlaka yoyote, unga mkono chama tawala, hakikisha una kadi na kwenye mikutano na vikao unajipendekeza, hutaamini hata traffic hataweza kukusimamisha barabarani, ukipita ni salute.
 
Hali halisi inavyoonekena kwa nje kwa upande wa wasanii wetu kuonekana wakijihusisha na siasa hasa wengi wao kwa asilimia kubwa kuonekana kuunga mkono chama tawala inaweza isiwe kama tunavyo fikiri kwamba labda wanapenda kufanya hivyo.

Kwa mtizamo wangu nazani kwa mfumo wa siasa za hivi leo kwenye nchi yetu ni wazi kuwa wasanii hawapo huru wameamua kuunga mkono chama tawala ili kulinda kazi na mali walizo nazo.

Soma Pia: Wasanii mbalimbali watua Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM: Hivi, Wanaenda kwa lengo la Maendeleo au Wanatumika kwa Agenda za Kisiasa?

Katika uhalisia idadi ya wasanii walio jiingiza kwenye siasa tena ya chama kimoja yani chama tawala sio ya kawaida hata kidogo sizani kama kuna nchi nyingine hapa afrika mashariki au afrika kwa ujumla zinafikia idadi hii,

Jambo hili ndio maana ninasema pengine wasanii wetu hawapo huru na inatia mashaka kwamba pengine wasanii wetu wapo kwenye control ya chama tawala hawapo huru.
1737742803493.jpg
 
Navy kenzo hata hawajui kuhusu siasa wao ni mziki na mapenzi Yao na hawapati shida maisha ni vile unavyoamua kuyaweka
 
Njaa kali ndugu yangu. Mpaka sasa nimeandaa 6 Album ya Kuipongeza CCM n mama. Support yenu wadau kule Youtube.

ni bahasha za khaki tu
 
Sio wasanii
Hata Mimi Niko CCM kinafiki, sirini ni CHADEMA na Huwa nawapa kura

CCM ukiwapinga watakusumbua ukose ada za watoto, upoteze biashara n. K
Kwa hiyo unamaanisha CCM ni visirani aka Jini Makata mtoa damu.
 
Navy kenzo hata hawajui kuhusu siasa wao ni mziki na mapenzi Yao na hawapati shida maisha ni vile unavyoamua kuyaweka
nafikiri hawa wote wapo kwenye control sema hawajaenda tu kwenye hicho kikao ila mwenyekiti wa ccm akiwaita au akiwaambia wamuimbie nyimbo za kumsifia lazima watafanya
 
nafikiri hawa wote wapo kwenye control sema hawajaenda tu kwenye hicho kikao ila mwenyekiti wa ccm akiwaita au akiwaambia wamuimbie nyimbo za kumsifia lazima watafanya
Umeshawahi ukiona wakifanya hivyo!?hata walipokuwa kwenye peak Yao bado hawakufanya wao wameamua kutokuwa chawa Hawa wengine Wala hawaitwi ni wao wenyewe wanafanya kwa mapenzi Yao na wakati mwingine hata gharama zao
 
Umeshawahi ukiona wakifanya hivyo!?hata walipokuwa kwenye peak Yao bado hawakufanya wao wameamua kutokuwa chawa Hawa wengine Wala hawaitwi ni wao wenyewe wanafanya kwa mapenzi Yao na wakati mwingine hata gharama zao
power ndio inaamua kwenye Tanzania ya leo na kwambia hao sahivi hawafuatiliwa pia hawana mali za maana na pengine labda mwenyekiti wa chama haja wataka ila kwa siasa za hivi leo hao unaweza kuwakuta kwenye siasa waki hitajika
 
Back
Top Bottom