Inasikitisha saaaana na Inanitisha binafsi

Inasikitisha saaaana na Inanitisha binafsi

Babavos

Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
93
Reaction score
242
Jana weekend jioni nimekaa zangu sina ili wala lile nikaona nimcheki bro tunaishi wilaya moja ila maeneo tofauti tukasalimiana fresh nikaulizia kuhus familia yake akanambia shemeji yako kaondoka nikashtuka kdg maana sio taarifa njema kuuliza kwann nawaambia alikuwa mduanzi ana mambo mengi sikutaka kuhoji sana nikaona nikaushe

Kidogo ananipa taarifa nyingine ya ndoa kuvunja kutoka kwa br mwingine yuko mkoa x uko huyu sasa mke wake aliizaa nae watoto 4 sabbu ya kuachana mke alimshauri br wahame mkoa waliopo waamie pwani kufika uko demu akaamkataa br mazima imagine inaumaje

Kuna br mwingine alioa mwanamke baada ya mwezi mke akazingua ndoa ikavunjika huyu wa 3

Inasikitisha na wananitisha uyo wa kwanza kabla hajaoa wazazi wake walimsihi atafute mwingine akakaidi

Kataa Ndoa wana Point Wasikilizwe
 
Jana weekend jioni nimekaa zangu sina ili wala lile nikaona nimcheki bro tunaishi wilaya moja ila maeneo tofauti tukasalimiana fresh nikaulizia kuhus familia yake akanambia shemeji yako kaondoka nikashtuka kdg maana sio taarifa njema kuuliza kwann nawaambia alikuwa mduanzi ana mambo mengi sikutaka kuhoji sana nikaona nikaushe

Kidogo ananipa taarifa nyingine ya ndoa kuvunja kutoka kwa br mwingine yuko mkoa x uko huyu sasa mke wake aliizaa nae watoto 4 sabbu ya kuachana mke alimshauri br wahame mkoa waliopo waamie pwani kufika uko demu akaamkataa br mazima imagine inaumaje

Kuna br mwingine alioa mwanamke baada ya mwezi mke akazingua ndoa ikavunjika huyu wa 3

Inasikitisha na wananitisha uyo wa kwanza kabla hajaoa wazazi wake walimsihi atafute mwingine akakaidi

Kataa Ndoa wana Point Wasikilizwe
Una mabro vilaza sana.
 
hili nalo mkalitizame

20231125_110735.jpg
 
Kama Ni ndugu zako wa damu Basi Kuna roho hiyo ya mafatilizi kwenu mwangalie baba yako au Mama yako historia za ndugu zao utanusa kitu. Kuna vitu watu washatamka hutaoa au hutoolewa na jina linatupwa mtoni huko mvua ikinyesha Ni kuhama Hama TU mpaka unazeeka huo Ni mfano. Maombi Ni Nguzo,Yesu Ni Bwana
 
Back
Top Bottom