Inasikitisha sana kuona mchina Juma Sharobaro anakijali na kukithamini kiswahili kuliko sisi wazawa

janja sana hawa watu, he's there for something
 
Ukweli ni kwamba wengi wanaokiponda kingereza hawako fluent katika lugha hiyo!


Tukubali tu, kingereza kina wenyewe!
Magufuli na wakina sie tunaingia kwenye kundi hilo moja kwa moja.
 
Huyu sio mchina. Ni mtanzania mwenye asili ya China. Uache ubaguzi
 
Mchina mswahili huyu khaa!!

Najiuliza jina la juma kapewa na nan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…