Inasikitisha sana, Wajerumani waliipanga Tanga ikapangika 1891. Waswahili zaidi ya miaka 100 mipango miji changamoto

Inasikitisha sana, Wajerumani waliipanga Tanga ikapangika 1891. Waswahili zaidi ya miaka 100 mipango miji changamoto

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mji wa Tanga ulijengeka kwa haraka baada ya kutua mjerumani na moja ya kitu alichoacha alama kwenye mji wa Tanga ni kupanga mji kwa barabara 21. Miaka kadhaa nyuma nilifanikiwa kuishi kwenye mji huu kwa siku chache wakati huo google maps ndio inaanza kuwa maarufu nchini.

Pamoja kwamba wenyeji wa Tanga walikuwa wakarimu sana kumuelekeza mtu sehemu anayokwenda, nilipenda sana kutumia ramani ya kwenye simu, kama kitu kipo kwenye ramani hakika utafika vizuri bila kuzunguka zunguka

Miaka zaidi ya 100 sasa, pamoja na kuwa tunacho chuo cha Ardhi na kila mwaka kinatoa graduates, wengine wako nyumbani bila shughuli za kufanya wakati miji mingi mipya inaota kama uyoga nchini tena kiholela mpaka kukosekana njia za kufika.

Maeneo yanakinai kuyaona machoni hata ikitokea dharura kufika baadhi ya sehemu ni changamoto.

Yaani tunashindwa kufanya kitu wenzetu walichoweza miaka 100 iliyopita pamoja na maendeleo makubwa ya teknolojia kwenye namna na vifaa vya kufanya kazi hiyo ya kupanga mji.

Nini kimetushinda sisi waswahili kupanga miji yetu?


Mji wa Tanga​
 
Nakazia tena!! Mwafrika hana uwezo wa kujiletea maendeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamiii nk!! Hana mark my words!! Mwafrika anapaswa kusimamia tena Kwa viboko kama walivyofanya wajerumani!!

Fikiria Leo Karne ya 21 mwafrika kufanya uchaguzi huru tuu hawezi!! Sasa unategemea ataweza nini!! Yaani Kwa kifupi sisi ni hovyo.
 
Mji wa Tanga ulijengeka kwa haraka baada ya kutua mjerumani na moja ya kitu alichoacha alama kwenye mji wa Tanga ni kupanga mji kwa barabara 21. Miaka kadhaa nyuma nilifanikiwa kuishi kwenye mji huu kwa siku chache wakati huo google maps ndio inaanza kuwa maarufu nchini.

Pamoja kwamba wenyeji wa Tanga walikuwa wakarimu sana kumuelekeza mtu sehemu anayokwenda, nilipenda sana kutumia ramani ya kwenye simu, kama kitu kipo kwenye ramani hakika utafika vizuri bila kuzunguka zunguka

Miaka zaidi ya 100 sasa, pamoja na kuwa tunacho chuo cha Ardhi na kila mwaka kinatoa graduates, wengine wako nyumbani bila shughuli za kufanya wakati miji mingi mipya inaota kama uyoga nchini tena kiholela mpaka kukosekana njia za kufika.

Maeneo yanakinai kuyaona machoni hata ikitokea dharura kufika baadhi ya sehemu ni changamoto

Nini kimetushinda sisi waswahili kupanga miji yetu?

View attachment 2733112
Mji wa Tanga​
Rushwa tupu, kipande kidogo kilichopangika ni Kange Uzunguni.... kwingine ni mavi tupu.....
 
TZ ni ubinafsi ilitakiwa Majiji yote makubwa waondoe Slums, wawalipe watu watanue barabara, wawalipe watu then majiji yote 100% ardhi iwe imepimwa....Wakifanya hivyo watawatendea haki vitukuu na vilembwe wetu.

Vijiji vyote viwe tayari vimepimwa kwa 100% kusiwe na slums tena in the future, waweke fungu waache ubinafsi.
 
Nakazia tena!! Mwafrika hana uwezo wa kujiletea maendeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamiii nk!! Hana mark my words!! Mwafrika anapaswa kusimamia tena Kwa viboko kama walivyofanya wajerumani!!

Fikiria Leo Karne ya 21 mwafrika kufanya uchanguzi huru tuu hawezi!! Sasa unategemea ataweza nini!! Yaani Kwa kifupi sisi ni hovyo.
Umemaliza kila kitu, case closed.... shortly tunavyojioni hatumbei uchi barabarani haimaanishi sisi tuko timam
 
TZ ni ubinafsi ilitakiwa Majiji yote makubwa waondoe Slums, wawalipe watu watanue barabara, wawalipe watu then majiji yote 100% ardhi iwe imepimwa....Wakifanya hivyo watawatendea haki vitukuu na vilembwe wetu.

Vijiji vyote viwe tayari vimepimwa kwa 100% kusiwe na slums tena in the future, waweke fungu waache ubinafsi.
Shida si tu maeneo ambayo tumeshaharibu, shida kubwa zaidi hadi sasa watu wanaendelea kujenga kiholela kwenye miji mipya itakayoleta slums za siku za baadae
 
TZ ni ubinafsi ilitakiwa Majiji yote makubwa waondoe Slums, wawalipe watu watanue barabara, wawalipe watu then majiji yote 100% ardhi iwe imepimwa....Wakifanya hivyo watawatendea haki vitukuu na vilembwe wetu.

Vijiji vyote viwe tayari vimepimwa kwa 100% kusiwe na slums tena in the future, waweke fungu waache ubinafsi.
Umeongea sahihi kabisa

Na jambo hilo linawezekana kabisa

Ova
 
Umeongea sahihi kabisa

Na jambo hilo linawezekana kabisa

Ova

Linawezekana kufanyika ,tatizo viongozi wetu ni wabinafsi hawawazi future ya vizazi vijavyo,Kama projects za DMDP zimefanyika vizuri tu ,wafanye pia katika kupima majiji yote,nimeshangaa bonde la jangwani wamewadhulumu wakazi wa pale wamewapa fedha kiduchu sana! Kama kila mwaka wanatenga zaidi ya 580 B kwa ajili ya kununua V8 kwanini wasiwe na plan ya hayo mabilioni kulipa watu waliojenga kwenye slums na kuendeleza makazi ,pia kuwalipa watu watanunue barabara?

Bonde la Jangwani ,Mkwajuni ,Kigogo ni misuse of resources kabisa ,kama waDutch walihamisha bahari wakajenga ,kama Dubai wamehamisha bahari wakajenga ,why sehemu kama jangwani/kigogo/mkwajuni sehemu tambarare wapaache vile? Viongozi wetu ni wabinafsi sana wanawaza matumbo YAO tu.
 
Mji wa Tanga ulijengeka kwa haraka baada ya kutua mjerumani na moja ya kitu alichoacha alama kwenye mji wa Tanga ni kupanga mji kwa barabara 21. Miaka kadhaa nyuma nilifanikiwa kuishi kwenye mji huu kwa siku chache wakati huo google maps ndio inaanza kuwa maarufu nchini.

Pamoja kwamba wenyeji wa Tanga walikuwa wakarimu sana kumuelekeza mtu sehemu anayokwenda, nilipenda sana kutumia ramani ya kwenye simu, kama kitu kipo kwenye ramani hakika utafika vizuri bila kuzunguka zunguka

Miaka zaidi ya 100 sasa, pamoja na kuwa tunacho chuo cha Ardhi na kila mwaka kinatoa graduates, wengine wako nyumbani bila shughuli za kufanya wakati miji mingi mipya inaota kama uyoga nchini tena kiholela mpaka kukosekana njia za kufika.

Maeneo yanakinai kuyaona machoni hata ikitokea dharura kufika baadhi ya sehemu ni changamoto.

Yaani tunashindwa kufanya kitu wenzetu walichoweza miaka 100 iliyopita pamoja na maendeleo makubwa ya teknolojia kwenye namna na vifaa vya kufanya kazi hiyo ya kupanga mji.

Nini kimetushinda sisi waswahili kupanga miji yetu?

View attachment 2733112
Mji wa Tanga​
Jiji la Dodoma lilipangwa vizuri sana sawa na jiji la Lilongwe Malawi kwani ulikuwepo ushirikiano wa ujenzi wa makao makuu ya miji hii miwili wakati ule, ila sasa baada ya kuvunjwa mamlaka ya ujenzi wa makao makuu Dodoma(CDA) mambo yakaharibika kwa baadhi ya watu kujichomeka kwenye maeneo ambayo tayari yalikuwa yamepangwa.
 
Narudia

Matatizo yote ya Tanzania yamesababishwa na Nyerere, yule alikuwa Dikteta, hakujali maendeleo bali kuwepo madarakani
Una matatizo ya uelewa.
Kwani, NYERERE alikuwa anapima viwanja?
RAIS yeyote lazima awe dikteta( Kutoa AMRI juu ya jambo fulani LAZIMA "UDICTATE" yaani watu lazima waitii hiyo A MRI).
WAKATI wa NYERERE watu wengi walikuwa hawajasoma na hivyo ingekuwa rahisi kwao kudanganywa KATIKA MAZINGIRA Hayo udikteta ni muhimu sana ILI Kuepusha makosa yanayotokana na LACK OF EXPOSURE.( Mtu asiyejielewa hapaswi kupewa DEMOKRASIA). ILA akishapata elimu na uelewa wa kutosha na moyo ya kupigania mema kwa mujibu wa KATIBA hapo ndio apatiwe hiyo DEMOKRASIA.
 
Mji wa Tanga ulijengeka kwa haraka baada ya kutua mjerumani na moja ya kitu alichoacha alama kwenye mji wa Tanga ni kupanga mji kwa barabara 21. Miaka kadhaa nyuma nilifanikiwa kuishi kwenye mji huu kwa siku chache wakati huo google maps ndio inaanza kuwa maarufu nchini.

Pamoja kwamba wenyeji wa Tanga walikuwa wakarimu sana kumuelekeza mtu sehemu anayokwenda, nilipenda sana kutumia ramani ya kwenye simu, kama kitu kipo kwenye ramani hakika utafika vizuri bila kuzunguka zunguka

Miaka zaidi ya 100 sasa, pamoja na kuwa tunacho chuo cha Ardhi na kila mwaka kinatoa graduates, wengine wako nyumbani bila shughuli za kufanya wakati miji mingi mipya inaota kama uyoga nchini tena kiholela mpaka kukosekana njia za kufika.

Maeneo yanakinai kuyaona machoni hata ikitokea dharura kufika baadhi ya sehemu ni changamoto.

Yaani tunashindwa kufanya kitu wenzetu walichoweza miaka 100 iliyopita pamoja na maendeleo makubwa ya teknolojia kwenye namna na vifaa vya kufanya kazi hiyo ya kupanga mji.

Nini kimetushinda sisi waswahili kupanga miji yetu?

View attachment 2733112
Mji wa Tanga​
Elimu, elimu, elimu duni, isiyofundisha ni nini maana na malengo na hatimae manufaa ya kinachofundishwa, au na inayofundisha masuala yasiyo na tija au kuendana na mazingira yetu.
 
TZ ni ubinafsi ilitakiwa Majiji yote makubwa waondoe Slums, wawalipe watu watanue barabara, wawalipe watu then majiji yote 100% ardhi iwe imepimwa....Wakifanya hivyo watawatendea haki vitukuu na vilembwe wetu.

Vijiji vyote viwe tayari vimepimwa kwa 100% kusiwe na slums tena in the future, waweke fungu waache ubinafsi.
Fungu ni kwa ccm na viongozi wake tu, wananchi wao ni kuwachangia ccm wazidi kubembea!
 
Kuna mji wa kale sanaa unaitwa Pompeii miaka takriban 2000 ilopita mara nyingi naangalia documentary zake asee wazungu wana uwezo mkubwa sanaa WA akili ule mji miaka 2000 ilopita ni mzuri sanaa umepangika kuliko miji mingi mikubwa iliyopo Tanzania
 
Back
Top Bottom