The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kwani Machadema yakiwa Ikulu ndio Wana ukoo wa Wanajeshi maisha Yao yatakuwa poa?Naomba nyie masoja niwaulize maswali kidogo
1. Nyie Sukari mnanunua wapi au mnapewa bure na Samia?
2. Petrol na diesel mnajazaga bure magali yetu.?
3. Nyama mnapewa bure?
4. Vipi mchele na maharage bado nyie mnanunua Kwa 1600.?
5. Vipi mkisafiri kwenda kwenu kagera nauli ni sh 40000.?
6. Mnatibiwa bure na watoto wenu?
7..watoto wenu wanasoma bure shule Nzuri.?
8. Bรกrabara zenu ni za lamรญ hazina makorongo wala mabonde mabonde.?
9 watoto wenu woote wana ajira ?
10. Mna mishahara minono kwerikweri.?
11. Wanaukoo wenu woote Maisha Safi?
Afu anaotokea chalamila kashiba makande anawaamulisha?
Achana na mazezeta yanayolinda ugali kwa kutumikishwa kushiriki Mambo ya ajab
Ingekuwa njaa watu wasingekuwa wanagombania hizo nafasi ๐๐๐Wale wa kada za juu ndio wanafaidi, hawa, wa chini,njaa tu, ndio maana wapo tayari kuua kisa milioni Sita tu(kuna kesi mtwara ya, vigogo wa polisi,nawaombea wapate kitanzi tu),
Nchi IPO captured na majizi, ya, CCM, kuyatoa haya,ni, mapinduzi, tu, kama alivyoondolewa Habyarimana kule Rwanda
Dar kuna zoezi la usafi kuanzia tarehe 23 hadi 24 January 2024.
Majeshi yote yatakuwepo. Njoo tushiriki usafi wa Jiji letu Kuu!
Mbowe akisema wiki nzima wataandamana , watafanya usafi will nzima ?
NdioMbowe akisema wiki nzima wataandamana , watafanya usafi will nzima ?
Jeshi utumwa
Shit headNdio
๐๐๐จShit head
Unatia hurumaKwani Machadema yakiwa Ikulu ndio Wana ukoo wa Wanajeshi maisha Yao yatakuwa poa?
Maneno ya wakosaji ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐จUnatia huruma