Ila mtu kama Ferooz angetakiwa yeye ndo atumie sanaa yake kuelimisha jamii,ni kushindwa tu kutumia fursa.kama alivyotoaga song kuhusu HIV ika hit angetoa ngoma kuhusu madawa ingeweza kumtoa vilevile.ina maana wao ndo binadamu pekee? inshu ni jamii sembe noma hata wao wanapoteza mashabiki wao kwa kula sembe jamii ielimishwe ubaya wa hiyo kitu
Hatumuonei mkuu,kupitia yeye tunawaokoa wadogo zetu,kaka zetu na hata rafiki zetu kuikimbia hii kitu.wakiiona taswira yake mwanzo na sasa alivyo hakuna atakesogelea cocaine.ifikie mahali tuikubali hali halisi kukimbia tatizo sio solution.Kuna uzi kama huu. Mods Mungu anawaoneni. Mnamuonea Feroo
Inaonekana wewe unamaamuzi magumu na hupendi ujinga [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ushahidi kuwa wanatumia ngada upo wazi hauhitaji kutoa summons kualika mashahidi, sijui kwanini hawafungi vifungo vya kibabe iwe fundisho kwa wengine.
Kuleana kumezidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wakuu msinisumbue..nipo bize mno...najaribu kugundua hilo pozi ni anacheka, analia, anasikitika au anashangilia
Inaonekana wewe unamaamuzi magumu na hupendi ujinga [emoji1] [emoji1] [emoji1]