miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
i naweza kusema 1+1=3 , kwa sababu moja moja inaweza kuvunjika ikaongeza idadi zikawa tatu ..Labda umenizidi uelewa apo, uprove vp 1+1=3, labda umexhimba zaidi integration & differentiation, njoo tuyajenge & na tushindane kwa hoja.
Don't take it seriousIvi kila kitu mnataka picha.... Hata jambo la kulitafakari akilini na kutoa maoni??? Tufike mahal tutumie akili zetu walau kidogo tu
Apo sauwaaaaaaDon't take it serious
Kwahiyo unaamini nilitaka picha kweli? Picha ya kitu gani kwa mfano?
kimtazamo tuKiuhalisia ama kimtazamo wako?