Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Shida inakuja pale mleta mada nae alikuwa anatania, au stori ya kutunga tuu.
Ni mara nyingii sana kunakuwa kunakuwa na mada za utani halafu bila kujua watu wanajipinda na keyboard kumshauri mtu baadae ndo inakujajulikana ni mchezo wa mtoa mada kucheza na mawazo ya watu.
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa wana jf kutokuwa serious sana na mada
Ni mara nyingii sana kunakuwa kunakuwa na mada za utani halafu bila kujua watu wanajipinda na keyboard kumshauri mtu baadae ndo inakujajulikana ni mchezo wa mtoa mada kucheza na mawazo ya watu.
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa wana jf kutokuwa serious sana na mada