Inatakiwa mzidiane miaka mingapi kuona?

Ukiipata bikra njoo utupe mrejesho
Ninae tena yuko chuo Dom" Niko 100% Huyo ndio ntaoa hawa wa mtaa ni wabrashi tu tangu huu mwaka uanze vibikra nimepita nao kama 7 but mikoa tofauti..Mbona ma bikra wako wengi tu..Labda kama nyie KE mmkosa wanaume mabikra
 
Ninae tena yuko chuo Dom" Niko 100% Huyo ndio ntaoa hawa wa mtaa ni wabrashi tu tangu huu mwaka uanze vibikra nimepita nao kama 7 but mikoa tofauti..Mbona ma bikra wako wengi tu..Labda kama nyie KE mmkosa wanaume mabikra
100%??umekua Mungu ckuiz
 
Kwa maisha ya siku hizi umri ni jambo dogo sana tena linakuja watu wameshapendana. Japo wanaume wengi wanakwepa kuoa wanawake wenye umri mkubwa kuliko wao, lakini tafiti zinaonyesha mwanamke akimzidi mwanaume umri ndoa inakua na amani na inadumu
 
Mimi Nina 29 nina mke wa 20 nimepita kiasi Sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…