Conclusion; naona bora niseme hv katika sekta zifuatazo kilimo,afya,mifugo,ualimu! Kwa level ya certificate na diplomaa zote zinashabianaa kivigezo i.e mtu wa pcb mwenye tokeo la E,S,F anawezaa akasoma ppte pale kati ya sekta tajwa hapo juu!! Angalizo sekta ya ualimu sema haijaliwi sanaa na serikali ndio maana watu wengi wanai-diss, ila kuhusu vilaza sekta zote mbona zinachukua vilazaa tena bora ualimu ngazi ya certificate inachukua mwisho dv 4 ya 27, but hiyo afya,kilimo,mifugo level ya certificate wanachukua had dv 4 29 ili mradi eti umepass biology na chemistry!! Overrr mwenye fact mwingine aleteee, coz leo nimeamua kuwatetea Walimu
Conclusion; naona bora niseme hv katika sekta zifuatazo kilimo,afya,mifugo,ualimu! Kwa level ya certificate na diplomaa zote zinashabianaa kivigezo i.e mtu wa pcb mwenye tokeo la E,S,F anawezaa akasoma ppte pale kati ya sekta tajwa hapo juu!! Angalizo sekta ya ualimu sema haijaliwi sanaa na serikali ndio maana watu wengi wanai-diss, ila kuhusu vilaza sekta zote mbona zinachukua vilazaa tena bora ualimu ngazi ya certificate inachukua mwisho dv 4 ya 27, but hiyo afya,kilimo,mifugo level ya certificate wanachukua had dv 4 29 ili mradi eti umepass biology na chemistry!! Overrr mwenye fact mwingine aleteee, coz leo nimeamua kuwatetea Walimu