Swali hilo kweli kwa mfumo huu wa kitanzania hata mimi ningeuliza kama ningekua age mate wake,lakini kama mzee ruksa alivyopata kusema kila dhama na vitabu vyake, kwa dhama zangu jibu lake ni jepesi sana, na utekelezaji wake ni simple just uamuzi.Ili kutoka huko asikukopenda yeye inabidi Mheshimiwa akubali kuchukua uamuzi mmoja kati ya njia mbili alizonazo.Kukubali lawama ya muda mfupi nikimaanisha miaka 15-20 au kuacha legacy ya generation to generation.
Maamuzi yake ya kuchukua upande wa kuacha LEGACY ni very painfull kwa wale wote waliokaribu na yeye WASIOJIULIZA swali hilo ANALOJIULIZA YEYE,na kwa watanzania wote wasiopenda maendeleo ya Taifa hili na haswa wasiopenda maendeleo ya Jirani zao, rafiki zao, ndugu zao, classmate zao, workmate zao wanaotafuta maendeleo yao kwa njia halali.
Moja ya tone dogo sana ya gharama za kuchagua uamuzi wa kuacha LEGACY kwa watanzania na kizazi chake ni maamuzi ya Kutumia Wasaidizi kama Mh Magufuri, Sita nk. I believe Nyerere Legacy yake is forever ingawa imemcost as an indivisual person, lakini leo hii hata mtoto aliyezaliwa baada ya kifo chake anamjua as if amemuona. Na kwa Kua aliasisi ujamaa kama mfumo wa kuishi [Social] nchi hii aiwezi kukwepa kwa namna yoyote hile its the spirit, what goes around comes around.
Tuishi Kijamaa [Namaanisha Socially not Econmically] tuendeshe uchumi kwa mfumo wetu wenyewe tunaona tukizinga na kuangalia mazingira yetu, muda, jamii, nyakati, external force ambazo tunaona tunaweza kuadapt kwa faida yetu, sio kwa style ya kucopy na kupaste.Ikibidi kusema No tuseme No kwa yoyote yule kwa kulinda maslahi ya watanzania kwanza.
Msingi wa nyumba ndio uhalisia wa nyumba yenyewe,Baba wa Taifa alishajenga msingi huo pls pls pls pls as nature works, naamini kuna nature, haiwezikana kwenda nje ya uzio huo [Ndio kinachotusumbua japo viongozi wengi nahisi hawakiamini hiki].Alifanya makosa yake as any human being [Cost for Lecacy]. lakini leo maamuzi yake majority wanayatumia kama dira ya kutafuta mwelekeo. Na majority wanaamini leo hii maamuzi yake yamekuwa faida kubwa kwao, and that is the leadership, ikimaaanisha kuonyesha njia kwa kundi kubwa lisilokua na jibu sahihi ya mwelekeo wa kwenda kwenye maendeleo ya kuanzia mtu binafsi, familia, jamii na Taifa kwa Ujumla.
Naikumbuka hotuba yake moja kua vizazi visije vikachapa viboko makaburi vikihoji maamuzi waliyoyafanya huko nyuma,ni kweli vitafanya hivyo kama atoamua sasa kwa gharama yake [Individual Cost]. Ni uamuzi wa kujibu point ya mwisho ya nafsi thats the inner soul decision what pushed him to run for presidency of almost 43 Million peoples. Kukumbatia majority ndio dira na mgawanyo haki wa keki ya taifa ukizingatia watanzania walio wengi ndio kiu kubwa ya generation hii na ijayo.
Nature imezungumza nchi za kiarabu, japo viongozi wetu wengi wanaona kama cinema, kupuuza sauti ya wengi ni kumchukiza Mungu.
Kwa kuanzia ajitoe mhanga ziara nchi nzima tena za kustukiza bila kuwaambia wasaidizi wake , akusanye wazee kila mkoa, wilaya, kijiji hata kata, asiwe muongeaji bali awasikilize wao tena bila kuangalia itikadi, akusanye makundi ya kijamii kama NGO, Vijana, Wanafunzi, Wakulima, Wafanyakazi, Wafanyabishara n.k awasikilize kwa kuwapa uhuru kujieleza. Ajipangie yeye nani wa kuwaona asiache wampangie watamchakachulia mwisho ataishi kupata maoni yasiyo na tija. Hatakayoyasikia huko yatakua majibu ya swali lake.
Kuuzulia mijadala ya kijamii kama leo pale chuo kikuu Mjadala wa Katiba,na kua msikilizaji mzuri pasi kuongea chochote,kwenye kusikiliza majibu mazuri ya utatuzi wa mambo magumu ya kibinadamu upatikana hapo.Kuongeza kasi ya kuonyesha kujishusha chini na kuwaludia wananchi wa kawaida. Mwalimu alicheza bao na watu wa kawaida lakini bao hilo lilitumika pia kupata ukweli wa hali halisi ya maisha ya kawaida ya mtanzania.
Mwisho wadau wake wa karibu wasio upande wa Swali lake analojiuliza watajua amewasaliti, na dhambi ya usaliti ni kubwa na ina gharama yake. hivyo ni kuchagua kusimama kwa wadau wa karibu au kusimama kwa majorirty ambao pia wana uwezo wa kukulinda na kutetea kwa maamuzi uliyofanya kwa faida yao, [Nyerere Vs Kambona]. Judgement ya uamuzi wake leo inaweza isionyeshe faida ya wazi lakini miaka kumi na tano ijayo watu watasimama kushangilia maamuzi hayo na generation inayokuja.
Tupende tusipende hata kama tutakumbatia ustaarabu wa kimagharibi bado tutaitaji kuishi kijamaa kama waafrika kumthamini biandamu na utu wake.Na ndio Dira ya mwalimu aliyokua akiipigania.
Hata wakati mwingine kuongea face to face na mtu na ambae anaonekana kukuchallange wakati wote,