Inauma sana barmaid anakuahidi akifunga bar mambo yatakua fresh lakini mda ukifika inakua tofauti kabisa.

Inauma sana barmaid anakuahidi akifunga bar mambo yatakua fresh lakini mda ukifika inakua tofauti kabisa.

Applicant

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2020
Posts
1,962
Reaction score
1,751
Nakumbuka oneday pande za temeke maduka mawili kunasiku nilienda pale liquid bar, wana barmaid wao pale wanavaa nguo za draft nyekundu wako bomba balaaa.

Nikazimika na mmoja tukaweka miadi kua akifunga nitaenda nae kupumzika, basi baada ya ahadi hiyo nikawa namsubiria tuu yule binti mweupe afunge bar (vitu vyeupe vinanifilisi sana).

Basi nikawa nampiga misupu ya kongoro, Piga sana bia za Heineken! saa nane usiku inafika watu washaondoka wote anafunga akaniambia anaenda kaunta kufunga mahesabu, duh! Sikumuona tena, mlinzi anakuja namuuliza yule mwanamke yukowapi nashangaa ananiambia ashaenda kwake buza mda sana.

Kiukweli nilijisikia hovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha hapo ameisha ahidi kumi kabla yako na kila mmoja katoa advance


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nakumbuka oneday pande za temeke maduka mawili kunasiku nilienda pale liquid bar, wana barmaid wao pale wanavaa nguo za draft nyekundu wako bomba balaaa.

Nikazimika na mmoja tukaweka miadi kua akifunga nitaenda nae kupumzika, basi baada ya ahadi hiyo nikawa namsubiria tuu yule binti mweupe afunge bar (vitu vyeupe vinanifilisi sana).

Basi nikawa nampiga misupu ya kongoro, Piga sana bia za Heineken! saa nane usiku inafika watu washaondoka wote anafunga akaniambia anaenda kaunta kufunga mahesabu, duh! Sikumuona tena, mlinzi anakuja namuuliza yule mwanamke yukowapi nashangaa ananiambia ashaenda kwake buza mda sana.

Kiukweli nilijisikia hovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole chief, kuna mwenzio licha ya kumgharamia na kung'atwa sana na mbu pia wakati anarudi kwake baada ya kumkosa huyo barmaid huko njiani alikutana na polisi wa doria wakamtoa nduki, nyumba mbili kabla ya kufika kwake akakutana na mbwa nao wakaunga nae[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka oneday pande za temeke maduka mawili kunasiku nilienda pale liquid bar, wana barmaid wao pale wanavaa nguo za draft nyekundu wako bomba balaaa.

Nikazimika na mmoja tukaweka miadi kua akifunga nitaenda nae kupumzika, basi baada ya ahadi hiyo nikawa namsubiria tuu yule binti mweupe afunge bar (vitu vyeupe vinanifilisi sana).

Basi nikawa nampiga misupu ya kongoro, Piga sana bia za Heineken! saa nane usiku inafika watu washaondoka wote anafunga akaniambia anaenda kaunta kufunga mahesabu, duh! Sikumuona tena, mlinzi anakuja namuuliza yule mwanamke yukowapi nashangaa ananiambia ashaenda kwake buza mda sana.

Kiukweli nilijisikia hovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora alivyokukimbia. Jamii inahangaika kuzuia vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto
 
Back
Top Bottom