Lorrye100 Phd
Member
- Jul 24, 2020
- 5
- 4
Nimeachana na mpenzi wangu ambae nlikuwa nae kwa miaka sita,lakini nimeanza kuona changes baada ya kufika town hapa dsm .tumeamua tuachane tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole nawewe kwa kuachwa na limapengo lako!Pole, utazoea tu
Nilitaka nikomenti Ila nikawaza Hawa vijana Wa fomu tuu waliofunga shule wakaja kwa shemeji zao Dar wakirudi Skonga huko namabengo watarudiana tu ni upepo tu wa mafua Ila nikaona Haina maana wacha ni kaushe....Nimeachana na mpenzi wangu ambae nlikuwa nae kwa miaka sita,lakini nimeanza kuona changes baada ya kufika town hapa dsm .tumeamua tuachane tu.
PoleNimeachana na mpenzi wangu ambae nlikuwa nae kwa miaka sita,lakini nimeanza kuona changes baada ya kufika town hapa dsm .tumeamua tuachane tu.
Pole nawewe kwa kuachwa na limapengo lako!
Komamanga tena😂😂Sijawahi kuachwa wewe komamanga niko single siku zote[emoji28][emoji28]
😂 Watu bhana haya single mingle hujambo..?Sijawahi kuachwa wewe komamanga niko single siku zote[emoji28][emoji28]
Ni jina langu usishangae mkuu!.Komamanga tena😂😂
Tena la kijaniKomamanga tena😂😂
Sijambo shikamoo😂 Watu bhana haya single mingle hujambo..?
Sitaki kushika humo mimi..😎Sijambo shikamoo
Komamanga ni jekundu rangi yake, hilo la kijani bila shaka ni bado changa, ila wewe😂Tena la kijani