Inauma sana wakuu, kijana amenikata ngwala hadharani

Mkuu ndio ww ulienda Lalago kumpa adabu kijana kisa kaongea na wenzake lugha usiyotambua? Kama ndio wewe nilikuonya achana na hawa watoto umeshindwa kumuonya na kumfundisha nyumbani mbele ya dunia atakufunza wewe. Ila kama nakuona ulivyoshikilia ugoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuonya tangia juzi kuwa; Achana na huyo kijana wako usimzingue kwa mambo yako ya kutaka kum-disipilini. Hukutusikia sasa hayo ndo mavuno ya ungangari wako.
Kwetu wana kausemi; Asosikia la wazee,,,
Dahhh....
Nikweli mkuu, ningelisikiliza ushauri wenu haya yote yasinge nisibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mimi mkuu, ahsante kwa ushauri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivaa kaunda suti kama ya Musiba mzee? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Pole sana,kama naiona hiyo suruali ilivyotatuka kwa nyuma..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…