Inauma sana, wezi walaaniwe. Wamenirudisha nyuma sana

ASA 1, Daaaa pole sana mkuu.
Hao viumbe wanaroho mbaya hata shetani anaweza kujifunza kwao.
Lkn mimi nilishatangaza kwa majirani nikimkamata polisi waje tu kuchukua mwili wake.
Kuibiwa kunauma asikuambie mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu...kuyumba au kufirisika kenye biashara ni jambo la kawaida.
Iliwahi kupata mkasa kama wako bahati nzuri nilikuwa na back up mambo yakakaa vizuri baada ya miezi kadhaa.
Maisha yetu yana changamoto kubwa sana...unafanya biashara lakini wategemezi ni wengi unashindwa kupiga hatua.
Ukiendelea kidogo kama kuna mfanyakazi anakupiga kidogo..
 
We mtu kaibiwa unakuja na habari za Wakorintho
 
Wezi aliowaachia magufuli nini? Ndiyo wamekuliza kama vp mtafute magufuli atakusaidia maana ndiyo aliachia wezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifahamu mkuu natumai walioachiwa watakuwa wamejirekebisha kama lilivyo lengo la muachiaji, kuhusu muheshimiwa ziwezi kumpata mkuu, isitoshe kuna wengi wenye matatizo zaidi yangu wanahitaji angalau msaada wa wasaidizi wake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante mkuu, ndo dhumuni langu la kulileta humu nilijua kuna waliopita ninalopitia.Ukiwa na backup kidogo stress zinapungua otherwise changamoto mkuu mipango yote inabuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…