Nimeona hii interview ya huyu muhitimu inatrend mitandaoni imeniumiza sana kwa kweli
Hujafa hujaumbika! Kijana Noel Swai, mkazi wa Bunju A jijini Dar es Salaam amekuwa mtu wa kutoa machozi kila siku kutokana na maisha magumu anayoyapitia baada ya kupata ajali mbaya ya bodaboda, miaka sita iliyopita.
Ajali hiyo ilisababisha nyonga yake kuondolewa na kuwekwa ya bandia ambayo nayo tayari imeshavunjika muda mrefu anahitaji kutolewa.
Akizungumza na Global TV, Noel ambaye ni msomi wa Chuo cha Ardhi mwenye shahada ya Sayansi ya Mazingira, anasema kuwa hajawahi kuitumia digrii yake ambayo aliisoma ili aikomboe familia yake ambayo iko kwenye umasikini mkubwa.
Ili kuondoa nyonga ya bandia aliyowekewa ambayo nayo imevunjika, Noel amesema inahitajika shilingi milioni moja ambayo hana huku familia yake ikiendelea kuteseka kwa umaskini mkubwa.
Kama umeguswa na habari ya Noel, unaweza kumchangia chochote kupitia namba yake ya simu
Nilipopata ajali marafiki wote walinikimbia
Hujafa hujaumbika! Kijana Noel Swai, mkazi wa Bunju A jijini Dar es Salaam amekuwa mtu wa kutoa machozi kila siku kutokana na maisha magumu anayoyapitia baada ya kupata ajali mbaya ya bodaboda, miaka sita iliyopita ambapo anaeleza kuwa marafiki zake wote wamemkimbia.
Ajali hiyo ilisababisha nyonga yake kuondolewa na kuwekwa ya bandia ambayo nayo tayari imeshavunjika muda mrefu anahitaji kutolewa.
Akizungumza na Global TV, Noel ambaye ni msomi wa Chuo cha Ardhi mwenye shahada ya Sayansi ya Mazingira, anasema kuwa hajawahi kuitumia digrii yake ambayo aliisoma ili aikomboe familia yake ambayo iko kwenye umasikini mkubwa.
Ili kuondoa nyonga ya bandia aliyowekewa ambayo nayo imevunjika, Noel amesema inahitajika shilingi milioni moja ambayo hana huku familia yake ikiendelea kuteseka kwa umaskini mkubwa.
Kama umeguswa na habari ya Noel, unaweza kumchangia chochote kupitia namba yake ya simu
Ajali hiyo ilisababisha nyonga yake kuondolewa na kuwekwa ya bandia ambayo nayo tayari imeshavunjika muda mrefu anahitaji kutolewa.
Akizungumza na Global TV, Noel ambaye ni msomi wa Chuo cha Ardhi mwenye shahada ya Sayansi ya Mazingira, anasema kuwa hajawahi kuitumia digrii yake ambayo aliisoma ili aikomboe familia yake ambayo iko kwenye umasikini mkubwa.
Ili kuondoa nyonga ya bandia aliyowekewa ambayo nayo imevunjika, Noel amesema inahitajika shilingi milioni moja ambayo hana huku familia yake ikiendelea kuteseka kwa umaskini mkubwa.
Kama umeguswa na habari ya Noel, unaweza kumchangia chochote kupitia namba yake ya simu
Nilipopata ajali marafiki wote walinikimbia
Hujafa hujaumbika! Kijana Noel Swai, mkazi wa Bunju A jijini Dar es Salaam amekuwa mtu wa kutoa machozi kila siku kutokana na maisha magumu anayoyapitia baada ya kupata ajali mbaya ya bodaboda, miaka sita iliyopita ambapo anaeleza kuwa marafiki zake wote wamemkimbia.
Ajali hiyo ilisababisha nyonga yake kuondolewa na kuwekwa ya bandia ambayo nayo tayari imeshavunjika muda mrefu anahitaji kutolewa.
Akizungumza na Global TV, Noel ambaye ni msomi wa Chuo cha Ardhi mwenye shahada ya Sayansi ya Mazingira, anasema kuwa hajawahi kuitumia digrii yake ambayo aliisoma ili aikomboe familia yake ambayo iko kwenye umasikini mkubwa.
Ili kuondoa nyonga ya bandia aliyowekewa ambayo nayo imevunjika, Noel amesema inahitajika shilingi milioni moja ambayo hana huku familia yake ikiendelea kuteseka kwa umaskini mkubwa.
Kama umeguswa na habari ya Noel, unaweza kumchangia chochote kupitia namba yake ya simu