TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
Yaliyomo
A & B ==> wanadamu
C ==> Mungu
C katoa Sheria kwa A na B wapendane kama jinsi yeye anavyowapenda, ilihali wakipendana wasitendeane Ubaya.
Pia, C katoa ahadi ya Maisha ya Furaha ya Milele kwa asiye mdhambi Miongoni mwa A na B, na katoa ahadi ya Maisha ya Maumivu ya Milele kwenye Moto wa jehanam kwa mdhambi Miongoni mwa A na B.
Hivyo C ni Mwanzo na Mwisho .
-maana ya upendo inatoka kwa C
-maana ya hukumu inatoka kwa C
Ikitokea A Kaiba mali ya B, C atamhesabia dhambi A na B atahitajika amsamehe A Ili kutimiliza amri ya Upendo kutoka kwa C naye B akimsamehe A jina lake litaandikwa kwenye Kitabu cha watakaopata Ile ahadi ya Furaha ya Milele. Ila B naye asipomsamehe A, naye atahesabiwa mdhambi na C kama ilivyo kwa A ikiwa A naye hakutubu makosa yake.
Hivyo basi, kosa la B linaweza kumfanya A kuhesabiwa dhambi mbele ya C Pamoja na B mwenyewe.
A kwa kishindwa kutekeleza amri ya Upendo kupitia B, A atachomwa Moto wa milele wa Jehanam akiwa pamoja na B .
Pengine A Hajamsamehe B kwa kuwa B hakurudi kuomba Msamaha, ila inampelekea A kuhesabiwa mdhambi mbele ya C.
C ana Upendo mkamilifu kwa A na B ndiyo maana C akawaagiza A na B wapendane kama jinsi C anavyowapenda.
C humsamehe yule (A/B) anayekiri makosa yake Mbele zake.
Kaagiza A na B ,Kila mmoja asamehe 70×7 ila C hafanyi kusamehe 70×saba .
(<[Ingetokea C angelikuwa anasamehe saba×70 ,jehanam inayosadikika isingesadikika kuwepo]>)
A & B ==> wanadamu
C ==> Mungu
C katoa Sheria kwa A na B wapendane kama jinsi yeye anavyowapenda, ilihali wakipendana wasitendeane Ubaya.
Pia, C katoa ahadi ya Maisha ya Furaha ya Milele kwa asiye mdhambi Miongoni mwa A na B, na katoa ahadi ya Maisha ya Maumivu ya Milele kwenye Moto wa jehanam kwa mdhambi Miongoni mwa A na B.
Hivyo C ni Mwanzo na Mwisho .
-maana ya upendo inatoka kwa C
-maana ya hukumu inatoka kwa C
Ikitokea A Kaiba mali ya B, C atamhesabia dhambi A na B atahitajika amsamehe A Ili kutimiliza amri ya Upendo kutoka kwa C naye B akimsamehe A jina lake litaandikwa kwenye Kitabu cha watakaopata Ile ahadi ya Furaha ya Milele. Ila B naye asipomsamehe A, naye atahesabiwa mdhambi na C kama ilivyo kwa A ikiwa A naye hakutubu makosa yake.
Hivyo basi, kosa la B linaweza kumfanya A kuhesabiwa dhambi mbele ya C Pamoja na B mwenyewe.
A kwa kishindwa kutekeleza amri ya Upendo kupitia B, A atachomwa Moto wa milele wa Jehanam akiwa pamoja na B .
Pengine A Hajamsamehe B kwa kuwa B hakurudi kuomba Msamaha, ila inampelekea A kuhesabiwa mdhambi mbele ya C.
C ana Upendo mkamilifu kwa A na B ndiyo maana C akawaagiza A na B wapendane kama jinsi C anavyowapenda.
C humsamehe yule (A/B) anayekiri makosa yake Mbele zake.
Kaagiza A na B ,Kila mmoja asamehe 70×7 ila C hafanyi kusamehe 70×saba .
(<[Ingetokea C angelikuwa anasamehe saba×70 ,jehanam inayosadikika isingesadikika kuwepo]>)