Inaweza kufika miaka 22 ya kuondoka JPM bila Chadema kuiona ikulu

Inaweza kufika miaka 22 ya kuondoka JPM bila Chadema kuiona ikulu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Ilikuwa kama utani vile mwaka wa kwanza toka aondoke Nyerere tukadhani 2000 lazima Chadema waingie ikulu lakini wapi.
2005 wakaja na helikoptaa lakini mipango ikagoma, 2010 ngoma ikakataa, 2015 gwiji la siasa za urais Lowassa lakini wapi. 2020 tukajaribu gwiji la siasa za Brussels likakutana na chuma. Leo miaka 22 toka aondoke mpendwa wetu JK, wengi tulidhani labda isingefika hata miaka 5 lakini ikulu bado imegoma kuwapokea Chadema.
Wasiwasi wangu tu isije ikafika mwaka 2043 Mbowe akiwa mwenyekiti na Chadema bado wapinzani
 
piga hisabati vizuri 20 tu baada ya nyerere mnaiba kura jeshi kutumika ,ukiongeza 22 yamagufuli vyombo vyooote vya Dola vitawachoka nakujikuta chadema iko ikulu
 
Ilikuwa kama utani vile mwaka wa kwanza toka aondoke Nyerere tukadhani 2000 lazima Chadema waingie ikulu lakini wapi.
2005 wakaja na helikoptaa lakini mipango ikagoma, 2010 ngoma ikakataa, 2015 gwiji la siasa za urais Lowassa lakini wapi. 2020 tukajaribu gwiji la siasa za Brussels likakutana na chuma. Leo miaka 22 toka aondoke mpendwa wetu JK, wengi tulidhani labda isingefika hata miaka 5 lakini ikulu bado imegoma kuwapokea Chadema.
Wasiwasi wangu tu isije ikafika mwaka 2043 Mbowe akiwa mwenyekiti na Chadema bado wapinzani

Mpendwa wenu ni huyu huyu:

Askofu Niwemugizi: Nyerere angekuwapo angewacharaza CCM viboko

Au ni yule mwenzenu ambaye naye bakora zilikuwa pia zimhusu?
 
Yani amsterdam aende ikulu kwa mgongo wa lisu?

Lazima pachimbike
 
Bado kidogo sana chadema inaungia ikulu. Na mwanya upo kwa huyu mkojani. Akijichanganya tu akagombea urais basi chadema haoooo ikulu.
 
Ni kitu ambacho hakiwezekani,na hata system ikitaka chadema iwe ikulu tutaitoa hiyo system kwa mtutu wa bunduki..
 
Ilikuwa kama utani vile mwaka wa kwanza toka aondoke Nyerere tukadhani 2000 lazima Chadema waingie ikulu lakini wapi.
2005 wakaja na helikoptaa lakini mipango ikagoma, 2010 ngoma ikakataa, 2015 gwiji la siasa za urais Lowassa lakini wapi. 2020 tukajaribu gwiji la siasa za Brussels likakutana na chuma. Leo miaka 22 toka aondoke mpendwa wetu JK, wengi tulidhani labda isingefika hata miaka 5 lakini ikulu bado imegoma kuwapokea Chadema.
Wasiwasi wangu tu isije ikafika mwaka 2043 Mbowe akiwa mwenyekiti na Chadema bado wapinzani
Hayo ndio matatizo ukiwa bado mchanga ulikuwa unakula mavi yako ukishiba makande badala ya kutafuta choo kilipo,unakuja kuhalisha jf.
 
Back
Top Bottom