Inaweza kuwa kweli maisha magumu

Inaweza kuwa kweli maisha magumu

toughlendon_1

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
6,283
Reaction score
11,253
Leo nilipata muda wa kuchati kidogo na jamaa yangu ambae nilidhani yupo Dar es salaam kumbe kapata kazi nje ya nchi na hapa nyumbani alikuwa mfanyakazi wa umma.

Huyu mkuu anapiga kazi hapa hapa Africa ila ni nchi moja wapo za South Africa, vitu alivyosema ndio vimenifanya nilete hili bandiko na vimenifikirisha kidogo ukifikiria mimi nilikuwa naona ile nchi anayosema ni yakichovu kuliko sisi, sasa si sijui mwenzetu kaona nini.

ENJOY. Read the screen shots.

IMG_7959.JPG
IMG_7960.JPG
IMG_7961.JPG
IMG_7963.JPG
IMG_7964.JPG


AMESISITIZA ATARUDI BAADA YA 2025 sababu sas hivi hamuelewi mzee na amepiga sana desh alivyokuwa mtumishi 🤣🤣🤣🤣

Na huyu jamaa alikuwa mfia dini kweli kweli ile ya nabii Titto siku hizi, daaah vyuma kweli vilimkazia jamaa yangu kaacha utumishi kajilipua nchi za watu anasema kuna afadhali kubwa, WAKUU KUNA UKWELI WOWOTE?

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Niko group moja la chama chetu Mkuu, ninayoyashuhudia yanatia hasira sana. Akili za hawa watu ziko kwenye madaraka na kusifia tu. Kila mmoja anawaza asifie ili apate fursa au nafasi katika sirikali. Kuhusu maisha magumu wanakili lakini wanasema mambo sio magumu kiivo. Yani wanauzi sana... Nnajikaza tu kwasababu ninachokitafta bado sijaakipata.

Mambo ni magumu sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko group moja la chama chetu Mkuu, ninayoyashuhudia yanatia hasira sana. Akili za hawa watu ziko kwenye madaraka na kusifia tu. Kila mmoja anawaza asifie ili apate fursa au nafasi katika sirikali. Kuhusu maisha magumu wanakili lakini wanasema mambo sio magumu kiivo. Yani wanauzi sana... Nnajikaza tu kwasababu ninachokitafta bado sijaakipata.

Mambo ni magumu sana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Yan kaka watu wanajua hali halisi ila wanashindwa kusema wataonekana wanasnitch, ila kaka kama kwa wasio na kazi ni shughuli pevu aisee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama alkuwa mtumishi na amepiga Sana desh bora afie huko huko walete maiti hana faida kwa nchi walafamilia yake

🤣🤣🤣🤣🤣 mbona umesema kwa hazba sana, ye alkuwa ananiambia hali halisi yake mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna watu kwao kula kfc ni maendeleo makubwa sana eeeh[emoji2]
 
Back
Top Bottom