baldin
Senior Member
- Jan 2, 2012
- 185
- 41
Tatizo la kifua kwa muda mrefu linaweza kutibika?wataalam naomba msaada maana kuna mtu anasumbuliwa na kifua
toka alipofanyiwa operation ya jicho hadi sasa n miaka 3 kifua kimekuwa kikimsumbua,ameenda hospitali kadhaa akambiwa ni alegi ya madawa aliyopatiwa kipindi cha oparesheni na dawa wanazompatia hazimsaidii,afanyeje msaada wako tafadhali?
toka alipofanyiwa operation ya jicho hadi sasa n miaka 3 kifua kimekuwa kikimsumbua,ameenda hospitali kadhaa akambiwa ni alegi ya madawa aliyopatiwa kipindi cha oparesheni na dawa wanazompatia hazimsaidii,afanyeje msaada wako tafadhali?