Inawezakana vipi dollar iadimike halafu bidhaa zimefurika Kariakoo kiasi hiki na hata wanunuzi ni wengi pia?

Inawezakana vipi dollar iadimike halafu bidhaa zimefurika Kariakoo kiasi hiki na hata wanunuzi ni wengi pia?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kama dollar zimeadimika nilitegemea pawe na shortage ya bidhaa Kariakoo, lakini ni kinyume chake, Kariakoo bidhaa zinamwagika kipindi hiki kama mvua, na wanunuzi wanazichangamkia kama nzige, Maana yakenpesa ipo, na cha ajabu kabisa, bidhaa nyingi zinazidi kushuka bei!

Sasa iweje pawe na inflation halafu bidhaa zingine zinashuka bei, tena zimejazana kama utitiri, what is the logic?
Au hii kushuka kwa thamani ya shillingi dhidi ya dollar sio inflation?
 
Kama dollar zimeadimika nilitegemea pawe na shortage ya bidhaa Kariakoo, lakini ni kinyume chake, Kariakoo bidhaa zinamwagika kipindi hiki kama mvua, na wanunuzi wanazichangamkia kama nzige, Maana yakenpesa ipo, na cha ajabu kabisa, bidhaa nyingi zinazidi kushuka bei!

Sasa iweje pawe na inflation halafu bidhaa zingine zinashuka bei, tena zimejazana kama utitiri, what is the logic?
Au hii kushuka kwa thamani ya shillingi dhidi ya dollar sio inflation?
Kama zimetoka china basi nilimsikia tz na china wanawekeana utaratibu wa kutumia currency zao,pili kuadimika haimaanishi hazipo
 
Kama dollar zimeadimika nilitegemea pawe na shortage ya bidhaa Kariakoo, lakini ni kinyume chake, Kariakoo bidhaa zinamwagika kipindi hiki kama mvua, na wanunuzi wanazichangamkia kama nzige, Maana yakenpesa ipo, na cha ajabu kabisa, bidhaa nyingi zinazidi kushuka bei!

Sasa iweje pawe na inflation halafu bidhaa zingine zinashuka bei, tena zimejazana kama utitiri, what is the logic?
Au hii kushuka kwa thamani ya shillingi dhidi ya dollar sio inflation?
Failed state ,under saa100
 
Issue iko hivi hela sasa hazivuki mpaka, dhahabu, mazao, nyama zinazoenda nje dollar hazirudi hivyo wao hutuma bidhaa huku ili ziuzwe wapewe Tsh kufanyia shughuli zao

Mf Dhahabu iliyouzwa nje ilikuwa na thamani ya dollar 950mil ila zilizorudi Tz ni dollar 50mil pekee
 
20230810_104909.jpg

Hii picha ina Majibu
 
Kama dollar zimeadimika nilitegemea pawe na shortage ya bidhaa Kariakoo, lakini ni kinyume chake, Kariakoo bidhaa zinamwagika kipindi hiki kama mvua, na wanunuzi wanazichangamkia kama nzige, Maana yakenpesa ipo, na cha ajabu kabisa, bidhaa nyingi zinazidi kushuka bei!

Sasa iweje pawe na inflation halafu bidhaa zingine zinashuka bei, tena zimejazana kama utitiri, what is the logic?
Au hii kushuka kwa thamani ya shillingi dhidi ya dollar sio inflation?
Wazungu wamebadiri njia ya kutalii,wanatumia ndege ndogo,Yale matumizi ya mitaani hawafanyi Tena,again wasipotumia mtaani dollar zinaishia Zanzibar wanakoanzia,huku mahotelini na camps hawalali sasa dollar zitasambaaje mtaani na wengi hawatumii kama tulivyozoea, Zanzibar ni jipu kwa sasa.
 
Nadhani ni vizuri sasa hivi, manunuzi ya nje yawe kwenye maeneo yafuatayo ili kupunguza matumizi ya fedha za kigeni:-
  • Mitambo
  • Vipuli
  • Nishati ya Mafuta
Vingine vizalishwe ndani, haina maana kuagiza nguo au meza nje wakati tunaweza kupata kwa wazalishaji wa ndani.
 
Mimi nilisema juzi hapa kwamba uchumi upo strong kuliko ulivokuwa miaka yote. Namba zinaongea.

Na kwa taarifa yako, kuna watu wafanyabiashara wanatengeneza hela ya hatari kwenye hiki kipindi
Sa hv pesa ipo , kilichopo ni kwamba serikali imechukua pesa nyingi toka nje either Kwa mikopo au Kwa misaada na hyo hela imeingiza Kwa watu ndo mana sa hv kiukweli kuna hela, Ila ndo hvo miradi ya serikali ipo chaliiii
 
Back
Top Bottom