hana kasoro yoyote ile.si ana boyfriend,sasa atongozwe ili iweje na wakati tayari ana mtu?kama angekuwa single kama hatongozwi,ingebidi atongoze yeye.siku hizi hata wanawake wanatongoza.mambo ya kusubiri kutongozwa hakuna tena,kama huwezi kumwaga sera,unatongoza kwa ishara tu