Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau naomba kuuliza, ivi inawezekana ukasoma diploma ya medicine(clinical officer) then baady ukaja ukasoma bachelor of pharmacy kwa kutumia chet chako cha diploma ya medicine(clinical officer) , at the same time nilisoma advance na nina cut off point 5
EDD ya PCB respectively mwaka 2013
👀Sasa kwa matokeo hayo,ilikuwaje ukaenda Diploma ya Clinicl??😮
Kwani hukuomba TCU?? Mbona matokeo mazr hivo!!!
By ze way yameshapita,now ganga yajayo,
Hiyo ishu unayo uliza inawezekana kabisa,tena utapebwa na vitu vingi sana,yan hapo utabebwa na GPA ya chuo,also matokeo ya six.
All the best mkuu.
EDD ya PCB respectively mwaka 2013
Mimi cyo BRN coz nimemaliza 2013 BRN imeanz 2014