mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Kumekuwepo na taarifa ulimwenguni zinazohusisha nchi moja kuingilia uchaguzi wa nchi nyingine na ku infuence matokeo au uungwaji mkono wa vyama au wagombea..
Hili limekuwa likitokea kwenye mataifa hasimu kiuchumi, Kisiasa na kijamii mfano Urusi dhidi ya Marekani,China dhidi ya Taiwan, India na Pakistani n.k.
Uingiliaji hufanyika kwa kupandikiza mamluki au kulipa fedha vyombo vya habari/Mitandao/Celebrities kushawishi kwa mujibu wa matarajio ya nchi mwingiliaji..
Je, hapa kwetu upo uwezekano wa chaguzi zetu kuingiliwa? Nchi gani korofi inayoweza kufanya hivi? Nini kifanyike kuzuia?
Hili limekuwa likitokea kwenye mataifa hasimu kiuchumi, Kisiasa na kijamii mfano Urusi dhidi ya Marekani,China dhidi ya Taiwan, India na Pakistani n.k.
Uingiliaji hufanyika kwa kupandikiza mamluki au kulipa fedha vyombo vya habari/Mitandao/Celebrities kushawishi kwa mujibu wa matarajio ya nchi mwingiliaji..
Je, hapa kwetu upo uwezekano wa chaguzi zetu kuingiliwa? Nchi gani korofi inayoweza kufanya hivi? Nini kifanyike kuzuia?