Inawezekana hatujui ukweli kuhusu Suma Lee..

Inawezekana hatujui ukweli kuhusu Suma Lee..

Tupige soga kidogo kuvusha wikiendi..

Sisi 'old skool' wa Bongofleva tuna mambo yetu. Hatushughulishwi na story za kizazi hiki cha kina Harmonize.

Ndio maana mtaona nyuzi zetu mostly zinawahusu kina Sumari, Nina, Sintah, Wanjara, Aminata, Seven na kaka zao wakiwemo hawa 'kina Sumalee.

Nisizunguke sana. Nataka tuchimbe sababu halisi za Suma kuacha muziki. Tuachane na hizi saundi za kujisalimisha kwa dini.

Pasipo kuingilia uhuru wake wa kuchagua kujielekeza kwa maulana, naamini bado tuna haki ya kujua baadhi ya mambo ili kuweka rekodi sawa.

Zipo fununu kuhusu kuharibu Kenya. Kwamba lipo jambo zito na la siri alilolifanya huko na ndilo lililompelekea hadi kuacha muziki na kuamua "kujificha" huku alipo sasa.

Ni jambo gani? Sijui. Niliona mdau fulani wa burudani hivi karibuni alitaka kugusia halafu akapotezea (tazama ambatanisho).

Ni siri nzito? Ndivyo inavyoaminika. Tunayo matukio mengi ya watu mashuhuri kujificha madhabahuni kwa lengo la kuficha siri zao.

Tukiyajua tutajifunza na kusaidia wale vijana wanaotamani kuingia huko ili kama kuna ya kuepuka, wayaepuke.

Yaani Suma aachie banger la HAKUNAGA (best comeback song ever) baada ya kufifia, halafu ghafla tu aache muziki?

Lipo jambo na hapa naamini tutayajua mengi..

View attachment 1760984
Hahahaha huyo chapo wa twittwer mzee wa kuungaunga ubuyu wa mtaani then anapost huko, mweupe sana huyo jamaa sema kakuta Twitter wazee wengi ukiwapa habari wanachukua tu.
 
Tupige soga kidogo kuvusha wikiendi..

Sisi 'old skool' wa Bongofleva tuna mambo yetu. Hatushughulishwi na story za kizazi hiki cha kina Harmonize.

Ndio maana mtaona nyuzi zetu mostly zinawahusu kina Sumari, Nina, Sintah, Wanjara, Aminata, Seven na kaka zao wakiwemo hawa 'kina Sumalee.

Nisizunguke sana. Nataka tuchimbe sababu halisi za Suma kuacha muziki. Tuachane na hizi saundi za kujisalimisha kwa dini.

Pasipo kuingilia uhuru wake wa kuchagua kujielekeza kwa maulana, naamini bado tuna haki ya kujua baadhi ya mambo ili kuweka rekodi sawa.

Zipo fununu kuhusu kuharibu Kenya. Kwamba lipo jambo zito na la siri alilolifanya huko na ndilo lililompelekea hadi kuacha muziki na kuamua "kujificha" huku alipo sasa.

Ni jambo gani? Sijui. Niliona mdau fulani wa burudani hivi karibuni alitaka kugusia halafu akapotezea (tazama ambatanisho).

Ni siri nzito? Ndivyo inavyoaminika. Tunayo matukio mengi ya watu mashuhuri kujificha madhabahuni kwa lengo la kuficha siri zao.

Tukiyajua tutajifunza na kusaidia wale vijana wanaotamani kuingia huko ili kama kuna ya kuepuka, wayaepuke.

Yaani Suma aachie banger la HAKUNAGA (best comeback song ever) baada ya kufifia, halafu ghafla tu aache muziki?

Lipo jambo na hapa naamini tutayajua mengi..

View attachment 1760984
Drug dealer wote hao.......ila hakunaga ingekua miaka hii ingekula viewers wa kutosha kama muziki ya darasa
 
Alipata zaidi ya milioni 100 Kwa wimbo mmoja Tu hakunaga..akanunua VX milioni 70
Ikaibiwa...

Huwa inanishangaza Sana hii story..
Katika uboraa wako.....[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Na huyu msanii mtanzania aliyemfix Cannibal na majini ni nani, unaonekana unajua mambo mob

 
Tupige soga kidogo kuvusha wikiendi..

Sisi 'old skool' wa Bongofleva tuna mambo yetu. Hatushughulishwi na story za kizazi hiki cha kina Harmonize.

Ndio maana mtaona nyuzi zetu mostly zinawahusu kina Sumari, Nina, Sintah, Wanjara, Aminata, Seven na kaka zao wakiwemo hawa 'kina Sumalee.

Nisizunguke sana. Nataka tuchimbe sababu halisi za Suma kuacha muziki. Tuachane na hizi saundi za kujisalimisha kwa dini.

Pasipo kuingilia uhuru wake wa kuchagua kujielekeza kwa maulana, naamini bado tuna haki ya kujua baadhi ya mambo ili kuweka rekodi sawa.

Zipo fununu kuhusu kuharibu Kenya. Kwamba lipo jambo zito na la siri alilolifanya huko na ndilo lililompelekea hadi kuacha muziki na kuamua "kujificha" huku alipo sasa.

Ni jambo gani? Sijui. Niliona mdau fulani wa burudani hivi karibuni alitaka kugusia halafu akapotezea (tazama ambatanisho).

Ni siri nzito? Ndivyo inavyoaminika. Tunayo matukio mengi ya watu mashuhuri kujificha madhabahuni kwa lengo la kuficha siri zao.

Tukiyajua tutajifunza na kusaidia wale vijana wanaotamani kuingia huko ili kama kuna ya kuepuka, wayaepuke.

Yaani Suma aachie banger la HAKUNAGA (best comeback song ever) baada ya kufifia, halafu ghafla tu aache muziki?

Lipo jambo na hapa naamini tutayajua mengi..

View attachment 1760984
Suma nahisi hataki kuded kama mwenzie
 
All in all, wimbo wake wa HAKUNAGA hakika aliutendea haki! Kamwe siwezi kuusahau huu wimbo!! Ulitoka mwaka 2011 kama sikosei.
 
Kwahiyo wewe mleta mada unamjua Suma lee kuliko anavyojijua yeye mwenyewe?

Yeye muhusika alisema aliamua kumrudia Mungu coz imani yake haikukubaliana na alichokua anakifanya.
 
Back
Top Bottom