Inawezekana JamiiForums ndiyo ikawa Forum Bora zaidi kwa Taifa la Tanzania

Inawezekana JamiiForums ndiyo ikawa Forum Bora zaidi kwa Taifa la Tanzania

Mimi naskitika role models wangu walionivuta kuja humu leo wanaonekana kwa hadubini. Sijajua shida hasa ni nini. Perhaps u bize au jf imeingiliwa kinyume na maumbile hivyo mahudhui yake ni irrelevant kwao. Big up sn MSHANA, huyu mwamba alikuwa mtu kweli kweli but now he's found nowhere.
 
Binafsi naona  Jamiiforums ilikua bora sana miaka ya kuanzia Jamboforums hadi 2017 ilipo anza kupoteza maudhui yake, na pia vijana wa hovyo walipo anza kupata internet kwa urahisi.
Adabu umekosekana na pamekua na vijana wa hovyo grade one, hata kupelekea wakonge kuacha kushusha nondo kwasababu mvuto na hoja zimepungua.
Humu ndani skuizi matusi na kuzodoana ndio vimetamalaki kuliko kujenga hoja mazee...
Skuizi watu hawaheshimiani kabisa humu Jf na hata usiri umekua haupo kabisa.
 
Binafsi naona  Jamiiforums ilikua bora sana miaka ya kuanzia Jamboforums hadi 2017 ilipo anza kupoteza maudhui yake, na pia vijana wa hovyo walipo anza kupata internet kwa urahisi.
Adabu umekosekana na pamekua na vijana wa hovyo grade one, hata kupelekea wakonge kuacha kushusha nondo kwasababu mvuto na hoja zimepungua.
Humu ndani skuizi matusi na kuzodoana ndio vimetamalaki kuliko kujenga hoja mazee...
Skuizi watu hawaheshimiani kabisa humu Jf na hata usiri umekua haupo kabisa.
min -me uliniuliza kivipi? Jibu hili hapa
 
Mimi naskitika role models wangu walionivuta kuja humu leo wanaonekana kwa hadubini. Sijajua shida hasa ni nini. Perhaps u bize au jf imeingiliwa kinyume na maumbile hivyo mahudhui yake ni irrelevant kwao. Big up sn MSHANA, huyu mwamba alikuwa mtu kweli kweli but now he's found nowhere.
Kukikuwa na mwamba BAK huyu kwangu ndo member bora kabisa kuwahi kutokea katika hili jukwaa. Saivi hayupo sijui alishafariki ila kama yupo natamani sana siku akirudi
 
Binafsi naona  Jamiiforums ilikua bora sana miaka ya kuanzia Jamboforums hadi 2017 ilipo anza kupoteza maudhui yake, na pia vijana wa hovyo walipo anza kupata internet kwa urahisi.
Adabu umekosekana na pamekua na vijana wa hovyo grade one, hata kupelekea wakonge kuacha kushusha nondo kwasababu mvuto na hoja zimepungua.
Humu ndani skuizi matusi na kuzodoana ndio vimetamalaki kuliko kujenga hoja mazee...
Skuizi watu hawaheshimiani kabisa humu Jf na hata usiri umekua haupo kabisa.
Nakazia hoja. Siku hizi kweli nyuzi nyingi more than 70% zinahusiana na mambo yanayofanyika au yaliyafanyika ya kijinsia e.g. ulaji wa tunda kimasihara, kulawiti/kutifua mitaro, madada poa, michepuko, talaka/kuachana, mipasho,kutongozana na umbea. Nyuzi zilizobakia kwa sasa zenye kuleta walau kutafakari (motomoto) ni za vita e.g. HAMAS vs IDF, Lebanon/Hezbollah vs Israel, Iran, DRC- Congo, Ukraine vs Russia ilhali nyuzi nyingine ni mambo ya siasa CCM na Chadema. Hatupati kuona tena nyuzi e.g. kuhusu mazingira, vituko, maswali ya kielimishana au hatuwaoni tena wale nguli wa kuanzisha mijadala tofauti-tofauti e.g. akina Mshana Jr n.k. sijui wamesafiri au vipi.(au labda mm nimepotea jukwaa?)
 
Mabadiliko ndani ya JF yanaletwa na mabadiliko ya kisera na Sheria ya nchi zetu.

Nakumbuka natoka Darhotwire kuja JF 2006, kulikuwa kama ni ukumbi wa "Whistleblowers" Kila siku habari juu ya habari

Nyaraka za ufisadi ziliwekwa humu bila hofu na watu kama kina Zitto, Dr. Slaa, Mbowe, Julius Mtatiro, na wengineo, walikuwa na Akaunti zao "verified" kabisa.

Zilipokuja Sheria kandamizi za kudhibiti upashanaji habari, wengi wao wakatoka.

Mpaka leo nakumbuka kwa mshangao jinsi Julius Mtatiro alivyoomba "Posts&thread" zake humu Jf zifutwe mara tu alipoteuliwa kuwa DC.

Naamini wengi wao wanatumia majina bandia ila hawana mzuka Sana wa kuchangia mada nyingi zinazoletwa humu kwa sasa.

Watu kama Mzee Mwanakijiji siyo kama hawamo ila nadhani Kila kinachoandikwa kwa Sasa walishawahi kuandika siku za nyuma hivyo hawawezi kufanya marudio.
 
Back
Top Bottom